Kufanya kazi TAMISEMI shida tupu, kila ukilala unaota uko jela

Kuna uchawa hatari Kuna jamaa yangu ni chawa mbaya ukikaa na kunywa moja baridi utasikia wanavyopanga kwenye simu namna ya kumuuliza mtu huwa nachoka kazi ya njaa Ina unafiki mwingi Sana.
 
Changamoto ya kazi nyingi hasa hizi ambazo njaa nyingi ni mifumo uchwara ambayo unakuta imeundwa ili kumnufaisha fulani na chawa wake

Kwa hiyo unakuta kila ofisi ina kigenge fulani ambacho bosi na baadhi ya wafuasi wake wamejiundia kamfumo, hapo ndio watajipangia fursa na ulaji kisha walio nje ni kalenda na kupishana na maokoto

Hapo hata kama wanafanya ndivyo sivyo usithubutu kuhoji au kuwakosoa, watatumia kila nyenzo utolewe ndani ya mchezo

Ukiwa kwenye ofisi fulani ridhika na mshahara na nafasi uliyonayo, ukiwaza cheo, posho, marupurupu, vikao, semina na safari utapata ugonjwa wa moyo maana kuvipata lazima uwe chawa kichizi na kujipendekeza kupitiliza kitu ambacho wenye kujielewa wengi hawawezi kufanya.
Sasa hapa wake za watu si watakuwa wanapitia magumu sana mkuu??
 
TAMISEMI aidha uwe muadilifu wa kiwango cha SGR ili ustaafu salama au uwe na tamaa za kula vizuri, kupata usafiri bora na kupeleka watoto private school ili uishie jela.

TAMISEMI hata ukiiba elfu 50 jiandae kufukuzwa kazi au kufungwa.

TAMISEMI ukifanya kazi kuwa makini, unaweza kuingizwa mkenge na wahuni bila kujua dakika yoyote.

TAMISEMI kuna mabosi wengi na kila bosi ni spy mnoko . Yaani wa juu kazi yake kubwa ni ku mzoom wa chini Ili ampeleke jela.

Serikali boresheni maslahi ya watumishi wa TAMISEMI, wana hali ngumu sana.

Rafiki yangu yuko huko TAMISEMI kasimamishwa kazi kwa vikesi uchwara hajui

TAMISEMI huku kumejaa uchawi,kusemana na kuingizana mkenge
Boss naomba connection
 
TAMISEMI aidha uwe muadilifu wa kiwango cha SGR ili ustaafu salama au uwe na tamaa za kula vizuri, kupata usafiri bora na kupeleka watoto private school ili uishie jela.

TAMISEMI hata ukiiba elfu 50 jiandae kufukuzwa kazi au kufungwa.

TAMISEMI ukifanya kazi kuwa makini, unaweza kuingizwa mkenge na wahuni bila kujua dakika yoyote.

TAMISEMI kuna mabosi wengi na kila bosi ni spy mnoko . Yaani wa juu kazi yake kubwa ni ku mzoom wa chini Ili ampeleke jela.

Serikali boresheni maslahi ya watumishi wa TAMISEMI, wana hali ngumu sana.

Rafiki yangu yuko huko TAMISEMI kasimamishwa kazi kwa vikesi uchwara hajui afanye nini.
Hao mabosi wanazoom nini ikiwa kuna wizi kiasi hicho?!
 
Kwa hiyo mnataka kuifananisha Tamisemi na Kule Manzese, Au Tandale? Huku sekta zingne zikiwa kama Mbez beach, masaki, Oysterbay nk.
 
Acha woga kula hela. Rwjea ripoti ya CAG mamilioni yameliwa halafu pametulia. Serikali imeliachia bunge halafu bunge nalo linaizoom serikali
 
Hivi ukisema Tamisemi unazungumzia Wizarani au Kwenye halmshauri au manispaa au mahospitalin maan kwa navyojua Tamisemi ndo wizara yenye ukubwa sana maana ofisi nyingi ziko chini yake.
Sasa wapi kwenye shida na wapi kwenye afadhali, iwe mashuleni huko, kwenye maofisi ya kata huko
Nadhani pote tu, kuanza wizarani mpaka huku kwa wtega mabomu. Ila hali ni mbaya sana ngazi ya halmashauri, muda wote kama umekalia bomu likulipue!
 
Uchawi uko huku polisi hasa trafik.
Usituone tumependeza na nguo nyeupe, tunapitia mengi.
Kweli mkuu yaani hizi KAZI watu wanazitamani lakini zimewalaza wengi.
Juu job descriptions
Kati kikokotoo
Chini ndumba na ulozi.

We can't breathe.
 
TAMISEMI aidha uwe muadilifu wa kiwango cha SGR ili ustaafu salama au uwe na tamaa za kula vizuri, kupata usafiri bora na kupeleka watoto private school ili uishie jela.

TAMISEMI hata ukiiba elfu 50 jiandae kufukuzwa kazi au kufungwa.

TAMISEMI ukifanya kazi kuwa makini, unaweza kuingizwa mkenge na wahuni bila kujua dakika yoyote.

TAMISEMI kuna mabosi wengi na kila bosi ni spy mnoko . Yaani wa juu kazi yake kubwa ni ku mzoom wa chini Ili ampeleke jela.

Serikali boresheni maslahi ya watumishi wa TAMISEMI, wana hali ngumu sana.

Rafiki yangu yuko huko TAMISEMI kasimamishwa kazi kwa vikesi uchwara hajui afanye nini.
Ukipata gap la kuchota mwanangu chota hasa ili hata kama ukikamatwa ukafungwa watoto unawaacha vizuri! Sasa tamaa zenu za kudokoa elfu 50 zitawaponza!!
 
Back
Top Bottom