Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,831
Imefungiwa kwa uchochezi
Imefungiwa kwa uchochezi
Habari nusu nusu unakusudia nn ?
UNARETA MCHEZO NA SISIEM MURA!:mad2:katika uchambuzi wa magezeti leo Asubuhi wanasema REdio SAUTI imefungiwa kwa sababu frequency zake zinaingilianana na za mawasiliano ya ndege kwa hiyo wameagizwa kununua kifaa maalumu kwa ajili ya kuzuia tatizo hilo, inasemekana kifaa walichoagizwa kununua hakuna redio yoyote ya FM Tanzania mambayo inakitumia
Radio ya SAUT imefungwa eti kwa sababu walikua wanawasema mno CCM kwa ukweli kuhusu ufisadi unaoendelea? Mbona radio ya chama inapewa hio ruksa pamoja na Clouds FM?
Alafu Baregu (campaign chairman CHADEMA) si anafundisha kwenye hio shule? Yani mengi yatafanyika kipindi hii ya uchaguzi.
Radio ya SAUT imefungwa eti kwa sababu walikua wanawasema mno CCM kwa ukweli kuhusu ufisadi unaoendelea? Mbona radio ya chama inapewa hio ruksa pamoja na Clouds FM?
Alafu Baregu (campaign chairman CHADEMA) si anafundisha kwenye hio shule? Yani mengi yatafanyika kipindi hii ya uchaguzi.
Ebana wewe uko anonymous, naomba ututangazie hapa hapa sababu basi kwa nini walifunga.Kuna siri kubwa iliyosababisha naogopa kuiandika sababu ya uadilifu wa wamiliki Radio hiyo, lakini amini usiamini mwaka huu ni mwaka wa shetani kuumbuka, kumbuka wachungaji wa makanisa waliombea sana amani wakati wa uchaguzi,Amani maana yake ni pamoja na kuumbuka kwa shetani na mitego yake.Wanaharakati tulieni bwana mungu anatenda kazi yake kama walivyoomba waumini wa madhehebu mbalimbali na pia mkumbuke shetani anapopagawa huwa anaropoka ropoka.Kuna mtumishi wa mungu mmoja aliwahi kutoa usemi kwamba Shetani amepewa uwezo wa kutengeneza chungu kikubwa na kuweza kuingia na kujificha lakini amenyimwa uwezo wa kutengeneza mfuniko wa chungu hicho na hivyo anapoingia juu panabaki wazi na baadaye siri zote ndani ya chungu zinabaki wazi.Ya RADIO SAUTI tutayajua tu tusiumize vichwa.Mbona Dr.Slaa kagundua siri ya Waraka wa serikali kwenda kwa vibaraka wanaoongoze selekali ya kifisadi
Wewe tulia utasikia mengi zaidi.