jambo1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2009
- 241
- 29
Uwapi uhuru wa vyombo vya habari Tanzania...!
Huu ni ukandamizaji wa Uhuru wa habari..inawanyika haki watanzania kupata habari...!
Watanzania...tuamke na kuwanyima kura mwaka huu...!
I hope huyu Kabwe wa Mwanza ndio atakuwa amesuka mpango huu..maana ana mambo ya ajbu sana huyu...!
Huu ni ukandamizaji wa Uhuru wa habari..inawanyika haki watanzania kupata habari...!
Watanzania...tuamke na kuwanyima kura mwaka huu...!
I hope huyu Kabwe wa Mwanza ndio atakuwa amesuka mpango huu..maana ana mambo ya ajbu sana huyu...!