Maskini watoto hawa, tena wapo eneo nyeti linaloingizia hii nchi mamilioni ya shilingi kwa mwaka. Watoto wa umasaini wakiwa darasani. Nini cha kujivunia miaka 50 ya uhuru kama hali bado mbaya hivi? hizo fedha wanazoandalia sherehe ya uhuru ( nimeona vijana wa bongo fleva wanjifua uwanja wa taifa mahususi kwa sherehe hii) zingetumika kutatua matatizo kama haya.
Hii siku ipite kimya kimya tu maana so far hamna cha kujivunia zaidi ya majuto. Hata ile amani CCM wanayojidai nayo imetoweka.
Hii siku ipite kimya kimya tu maana so far hamna cha kujivunia zaidi ya majuto. Hata ile amani CCM wanayojidai nayo imetoweka.