Kueleke miaka 50 ya uhuru, mmh

mi sion cha kujivunia tena naumia zaidi kuona hzo picha za wadogo zangu,kila mara 2takumbuka miaka ya nyuma milele,najua haya masherehe huwez kuyazuia ila 2napower 2015,ni ushnd wa kishndo 2nautafuta
 
Mmh hali inatisha sana kwa kweli,unaweza kufikiri kuwa wakubwa hawajui mambo haya, wanafanya hivi makusudi ili watoto wao wanaosoma nje waje waendelee kututawala maana kwa hali hii mtoto anayesoma katika mazingira kama hayo ataweza vipi kuhimili ushindani katika sekta yeyote inayohitaji akili zisizolala.


Bila shaka wazazi wao wanamchagua EL kila siku,au mbunge wa chama cha magamba ,what a shame!
 
Hizi picha nataka nizicopy na kuzituma balozi zote za EU na USA hasa wafadhili,maana hawa ndio wanachangia budget yetu kus sort out matatizo kama haya.
Wao wako kimpya wanaenjoy upepo wa DSM,hawasemi kitu chochote kuhusu ufisadi.

Mbona hawajawafungia mafisadi wote kusafiri Ulaya/USA kama ilivyo Zimbabwe na Kenya?
 
hlafu mnabeza mafanikio ya serikali ya awamu hii.cheki shule ilivyo bomba


Wale watetezi wa chama cha mambumbumbu hapa hututawaona wakichongoa madomo yao, maana ki ukweli mioyo yao pia inawauma wakiona hali hii. Ni mwenyezi Mungu tu ndiye anajua majaliwa ya watoto hawa.

Amani yetu inatumiwa vibaya.
 
mkuu picha nyingine zinatia simanzi sana hata kuziangalia machozi yanaweza kukutoka

dada faiza foxy haya unayaona??????! Mbona ktk haya hu comment kitu??????????? la kuvunda dada halina ubani
 
Re: Kueleke miaka 50 ya uhuru, mmh<!-- google_ad_section_end -->
<!-- google_ad_section_start -->
quote_icon.png
Originally Posted by mr.rocky
mkuu picha nyingine zinatia simanzi sana hata kuziangalia machozi yanaweza kukutoka






dada faiza foxy haya unayaona??????! Mbona ktk haya hu comment kitu??????????? la kuvunda dada halina ubani<!-- google_ad_section_end -->
 
Hicho kisanduku hapo darasani ni cha nn? Kwa mtindo huu hata hiyo CPU watafundishwa kweli!
 
halafu hili ni banda la mbuzi pia wakati wa usiku. je hao mbuzi na wanani? au hii picha ni ya nyumbani kwa yule laigwamnani pale karibu na mto wa mbu kabla hajajenga ile shule yake? kaazi kwelikweli.
 
Back
Top Bottom