Kuchelewa kupatikana kwa huduma ya internet ( fiber) TTCL

Yaras

Member
Jul 10, 2023
7
7
Habar!

Mimi ni mkaazi wa Zanzibar (unguja) niliomba kuunganishiwa huduma ya internet kwa njia ya wire(fiber) katika ofisi za TTCL tokea mwaka jana 2023 , mara ya mwanzo kufika ofisini KIJANGWANI ZANZIBAR walinambia nijaze form, nikaja na kukabidhi ile form!

Nimekaa karibia miez 8 kila siku ikawa wananizungusha mara wire umeisha mara tunakuja after two weeks, last year October nikaenda tena ofisini wakaniambia niombe kwa njia ya online , nikaomba tena na kwa bahati nzuri hapa mtaani nilipo kuna jirani zangu nyumba 3 wanataka hiyo huduma ! Na wao pia wameomba ila hadi leo hii hakuna taarifa yoyote!

Naomba mpaishe sauti juu hali

Ahsante
 
Mkuu huku Bara (Tanganyika) huduma zao niza mwendo wa Kinyonga,ndo unadhani huko Zenjibar huduma zitakuwa za mwendo wa wa Farasi?
 
Mkuu huku Bara (Tanganyika) huduma zao niza mwendo wa Kinyonga,ndo unadhani huko Zenjibar huduma zitakuwa za mwendo wa wa Farasi?
Wafanyakazi wa TTCL Zanzibar ni wanzanzibari sio watanganyika Huwa wako slow sana
Alaumu wazanzibari wenzie
 
Habar! Mimi ni mkaazi wa Zanzibar (unguja) niliomba kuunganishiwa huduma ya internet kwa njia ya wire(fiber) katika ofisi za TTCL tokea mwaka jana 2023 , mara ya mwanzo kufika ofisini KIJANGWANI ZANZIBAR walinambia nijaze form, nikaja na kukabidhi ile form! Nimekaa karibia miez 8 kila siku ikawa wananizungusha mara wire umeisha mara tunakuja after two weeks, last year October nikaenda tena ofisini wakanmbia niombe kwa njia ya online , nikaomba tena na kwa bahat nzuri hapa mtaani nilipo kuna jirani zangu nyumba 3 wanataka hio huduma ! Na wao pia wameomba ila hadi leo hii hakuna taarifa yoyote! Naomba mpaishe saut juu hali
Ahsante
TTCL ni shirika la umma.
Viongozi wengi wana hisa kwenye makampuni binafsi ya mitandao. Hautakaa uone TTCL ikiwa nanufanisi tukiendelea kuikumbatia CCM madarakani

Period
 
Watu sasa hivi wameamua kutumia unlimited ya Airtel 5g(70,000 Kwa 10mbps) ttcl ni kampuni ya hovyo.
 
Wao kazi kumpa nandy tu pesa awe balozi wao na ubalozi wenyewe sijuwi
Anaufanyajefanyaje

Ova
 
Habar! Mimi ni mkaazi wa Zanzibar (unguja) niliomba kuunganishiwa huduma ya internet kwa njia ya wire(fiber) katika ofisi za TTCL tokea mwaka jana 2023 , mara ya mwanzo kufika ofisini KIJANGWANI ZANZIBAR walinambia nijaze form, nikaja na kukabidhi ile form! Nimekaa karibia miez 8 kila siku ikawa wananizungusha mara wire umeisha mara tunakuja after two weeks, last year October nikaenda tena ofisini wakanmbia niombe kwa njia ya online , nikaomba tena na kwa bahat nzuri hapa mtaani nilipo kuna jirani zangu nyumba 3 wanataka hio huduma ! Na wao pia wameomba ila hadi leo hii hakuna taarifa yoyote! Naomba mpaishe saut juu hali
Ahsante
Vitu vyote vinanyo endeshwa au vilivyo chini ya serikali asilimia kubwa ni takataka wafanya kazi hufanya kazi kwa kujiskia.
 
Mkuu huku Bara (Tanganyika) huduma zao niza mwendo wa Kinyonga,ndo unadhani huko Zenjibar huduma zitakuwa za mwendo wa wa Farasi?

Kinachokera wanapotosha watu mtandao wanadai kua wanatoa huduma kwa ufanisi Tanzania nzima
 
Back
Top Bottom