Mpiga Nyoka
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 283
- 122
Mwanahalisi walikuwa wanataja mafisadi ndani ya ccm wakiwemo mapacha wa3 na ccm wamekubali kwamba kweli hao ni mafisadi sasa we unataka waandike nini tena kuhusu hao mapacha wa3. Kazi iliyobaki ni kuwakumbusha magamba mengine mana RACHEL ime-expire.