CUF Ngangari
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 273
- 51
Nimepata kusoma kusoma makala tofauti na habari nyingi zinazoandikwa na mwandishi Said Kubenea wa MwanaHalisi makala zake siku zote huwa ni kuishambulia CUF na viongozi wake.
Hatujui kuna ugomvi gani kati yao kwani mwanzoni Kubenea alikuwa mwanachama wa CUF na aliwahi kuwa kampeni meneja wa Prof Lipumba katika uchaguzi wa 2005 kwa kweli ni mtu mwenye matatizo makubwa kwani aliweza kuiba CD za mgombea na kuzipeleka CCM na hii ilitokana na njaa aliyokuwa nayo kwani yeye kwake ni pesa mbele na anatembea na bango matangazo mgongoni ndio maana hakuona wa kumbandua ila alikimbilia kwa mh mbowe, yupo tayari kutumia kalamu yake hata kuwa chafua viongozi wazuri kwa maslahi binafsi.
Wanainchi tujihadhari na mwandishi huyu ni hatari.
Hatujui kuna ugomvi gani kati yao kwani mwanzoni Kubenea alikuwa mwanachama wa CUF na aliwahi kuwa kampeni meneja wa Prof Lipumba katika uchaguzi wa 2005 kwa kweli ni mtu mwenye matatizo makubwa kwani aliweza kuiba CD za mgombea na kuzipeleka CCM na hii ilitokana na njaa aliyokuwa nayo kwani yeye kwake ni pesa mbele na anatembea na bango matangazo mgongoni ndio maana hakuona wa kumbandua ila alikimbilia kwa mh mbowe, yupo tayari kutumia kalamu yake hata kuwa chafua viongozi wazuri kwa maslahi binafsi.
Wanainchi tujihadhari na mwandishi huyu ni hatari.