Kubadilisha jina

Lio 002

JF-Expert Member
May 10, 2014
436
66
Samahaani wana jamvi nilikuwa nna tatzo moja nilikuwa nataka kunadilisha jina langu na sasa hivi nipo chuo diploma ndo namaliza mwezi wa sita nataka nibadili jina kwenye vyeti vyangu vyoote jee kuna tatzo au kuna step zozote ambazo natakiwa kuzifata?
 
Sasa kama hakuna steps ulijua unafuta na correction fluid halafu unaandika jina unalopenda? Maswali mengine bwana D
 
Samahaani wana jamvi nilikuwa nna tatzo moja nilikuwa nataka kunadilisha jina langu na sasa hivi nipo chuo diploma ndo namaliza mwezi wa sita nataka nibadili jina kwenye vyeti vyangu vyoote jee kuna tatzo au kuna step zozote ambazo natakiwa kuzifata?
Pole kwa kuwa katika hali hiyo ya kutaka kubadilisha jina,lakini sielewi sababu ya kubadilisha jina ni nini,labda utujuze.Hivi unajisikiaje kama tangu umezaliwa jina lako ni ABCD na watu wamekuzoea hivyo leo uitwe 1234?Kwa nini unataka ubadilishe identity yako?Kama unaona ngumu kusem hapa just Private Message me.
 
Samahani ndugu yangu lakini naamini utakuwa na sababu ya msingi ya kutaka kubadilisha jina ila nakushauri waone watu wa sheria zaidi ili wakupe utaratibu wa kufata
 
Ulisha chelewa cheti cha form four ndio shida, hakibadilishwi wala kutolewa kingne hebu fuatilia hapa kama inawezekana lakin nijuavyo mimi ni ngumu bz ya kuzidi kwa vyeti feki.
 
unaweza. Nenda kwa mawakili.Kuna document inaitwa Deed Poll. Itataja majina yote umewah kutumia,then itayadenounce na utaadopt moja kati ya hayo au jipya kbs. Kisha unaenda kusajili kwa msajili wa hati ofisi ziko pale wizara ya ardhi.

Gharama kwa msajili ni elfu 82..elfu 80 ya usajili,elfu 2 stamp duty. Gharama za wakili na muhuri wake maelewano tu.
 
unaweza. Nenda kwa mawakili.Kuna document inaitwa Deed Poll. Itataja majina yote umewah kutumia,then itayadenounce na utaadopt moja kati ya hayo au jipya kbs. Kisha unaenda kusajili kwa msajili wa hati ofisi ziko pale wizara ya ardhi.

Gharama kwa msajili ni elfu 82..elfu 80 ya usajili,elfu 2 stamp duty. Gharama za wakili na muhuri wake maelewano tu.

Asante ndugu yangu kwa majibu yako mazuri
 
Mwaka 1978 Kenya kulikuwa kuna mchezaji anaitwa Otieno Mboo.
walifanikiwa kufika Fainali ila huyo mchezaji aliumia mechi ya Nusu fainali,
Magazeti ya Kenya yaliandika vichwa vya habari "WAKENYA KUCHEZA BILA MBOO", Raisi akazuia magazeti yote na kusema warekebishe hiyo sentensi....
Walibadilisha na kesho yake kuandika "WAKENYA KUCHEZA MBOO NJE"
Siku ya mechi Wanawake walifurika Uwanjani..


kama unajina kama hilo nakushauri ubadili coz utapo kuja kuwa kiongozi mkubwa hapa nchini itakuwa ni shida tupu.
just imagine gazeti liandikwe "WATANZANIA/CCM/CHADEMA KUONGOZWA NA MBOO... "
Itakuwa majanga nchini.
 
Samahaani wana jamvi nilikuwa nna tatzo moja nilikuwa nataka kunadilisha jina langu na sasa hivi nipo chuo diploma ndo namaliza mwezi wa sita nataka nibadili jina kwenye vyeti vyangu vyoote jee kuna tatzo au kuna step zozote ambazo natakiwa kuzifata?
tafuta wakili akuandikie deed poll then utaenda kuilipia 85,600 hivi wizara ya ardhi gorofa ya tatu
 
Sasa kama hakuna steps ulijua unafuta na correction fluid halafu unaandika jina unalopenda? Maswali mengine bwana D

kazi kweli kweli...kwikwi kwi kwi kwiiiii,jamiiforums hua inafanya siku yangu ipendeze hata kama sina hela mfukoni!
 
Mwaka 1978 Kenya kulikuwa kuna mchezaji anaitwa Otieno Mboo.
walifanikiwa kufika Fainali ila huyo mchezaji aliumia mechi ya Nusu fainali,
Magazeti ya Kenya yaliandika vichwa vya habari "WAKENYA KUCHEZA BILA MBOO", Raisi akazuia magazeti yote na kusema warekebishe hiyo sentensi....
Walibadilisha na kesho yake kuandika "WAKENYA KUCHEZA MBOO NJE"
Siku ya mechi Wanawake walifurika Uwanjani..


kama unajina kama hilo nakushauri ubadili coz utapo kuja kuwa kiongozi mkubwa hapa nchini itakuwa ni shida tupu.
just imagine gazeti liandikwe "WATANZANIA/CCM/CHADEMA KUONGOZWA NA MBOO... "
Itakuwa majanga nchini.

Hahahaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom