Bei Mbaya
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 2,262
- 843
Wakuu,jinsi Siyoi Sumari alivyopita toka mwanzo kimizengwe, kushindwa vibaya kwa CCM huko Arumeru nini uelekeo wa makundi ya Urais,EL na Chama chenyewe? Pongezi kwa Chadema
kuanguka vizuri kungekuwaje
hata hivyo Sitta na Nape walitahadharisha mchakato ule wa kumpitisha Siyoi