Anfibix
Senior Member
- Dec 1, 2018
- 190
- 308
Aisee.. Hili ni jambo gumu. Nilkua na mpenzi wangu tuliodumu miaka 5, sasa amebadilka bila sababu, mawasiliano yamekua adimu kama kaka kuona. Anazima simu hata wiki mbili bila sababu maalum. Nafikiria kuachana nae kwa kumblock kila sehemu, kwa wenzetu wanaita 'ghosting'. Je wakuu nitakua nafanya sawa kama mtu hanitafuti hadi akiwa na shida. Yani level yake ya inconsistency imekuwa too much. Wadau naomba ushauri wenu