CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Ndugu Chasha suala la kuongeza elimu while doing business ni jambo la kawaida,wengi imewezekana na jamaa kasema wife yupo nyumban so ni msaada tosha...kuongeza elimu kuna faida nying,kama ni muajiriwa utazijua,baadhi tu ni kipato kuongezeka,heshima,kukuza uelewa na assurance ya kuongeza mafao pale utakapostaafu.
Ma prof ndo maprof tunawaona wanalilia kuongezewa mikataba baada ya muda kufika, so kumbe watu wanaongeza elimu ili waheshimiwe na wapate mafao mengi? Dah nilikuwa silijui hili