yenyewe
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 621
- 94
Hbr wadau?
Mimi nimeajiriwa nina mshahara wa 570,000. ni mwaka wa tatu sasa tangu nianze kazi lakin sioni mafanikio yoyote zaidi ya kulipa kodi, kununua chakula na kumhudumia kidogo mke wng mtarajiwa ambae nimekuwa nae mda mref kwenye shida na raha na ajapata kazi tangu ahitimu chuo.
Nimekuwa nikisevu hela kidogo na sasa nimefikisha kiasi cha milion moja. Sasa wadau naombeni ushauri wenu kwa kiasi hiki kidogo nlichonacho shuguli zipi au biashara ipi naeza kufanya (tuachilie mbali kufuga kuku) kwa hapa Dodoma ukizingatia umri unakimbia kwa kasi majukum nayo yanaongezeka.
Nafikiria pia niache kazi au hii hela nimfungulie mpnz wng biashara tushirikiane kutafta riziki.
Ushauri wenu wadau.
Mimi nimeajiriwa nina mshahara wa 570,000. ni mwaka wa tatu sasa tangu nianze kazi lakin sioni mafanikio yoyote zaidi ya kulipa kodi, kununua chakula na kumhudumia kidogo mke wng mtarajiwa ambae nimekuwa nae mda mref kwenye shida na raha na ajapata kazi tangu ahitimu chuo.
Nimekuwa nikisevu hela kidogo na sasa nimefikisha kiasi cha milion moja. Sasa wadau naombeni ushauri wenu kwa kiasi hiki kidogo nlichonacho shuguli zipi au biashara ipi naeza kufanya (tuachilie mbali kufuga kuku) kwa hapa Dodoma ukizingatia umri unakimbia kwa kasi majukum nayo yanaongezeka.
Nafikiria pia niache kazi au hii hela nimfungulie mpnz wng biashara tushirikiane kutafta riziki.
Ushauri wenu wadau.