Pendael laizer
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 958
- 101
Avute room tu sura haina maana sana
tulioanguka bafuni mbona tutajibeba....na sura ndo kama tunakamuliwa jipu....uwiiii.....
Avute room tu sura haina maana sana
siwezi pita hapa...mwanamke asiye na RECEPTION ntampeleka wap??mwanamke mapokezi...LOL...sio wakija wageni unatamani umtambulishe kama mfua nguo!tena wadada pigeni deki hapo mapokezi,huko kwingine hata kama umepewa yakukalia tuuu...sawaaa!si nanilii ipo?sasa je.
makitu yenyewe wengine hata hawayagusi...alah!
Heh! Kumbe...
kumbe sio ww katika iyo avatar...toba!..
Naunga NANILIU mkono hoja, hapo NANILII si ndiyo mzima mpango ?
we mtoto sura yako lol. wanimaliza!
BAKITA kazi mnayo,kwa hii misamiati inayochipukia kama uyoga kwenye lugha yetu.
Hao hao wa Redioni kuna siku nilisikia wanasema Mwanamke Mtindi "boobs" kwa madai kua Mazaburi hata wanaume wanayo.
AshaDii,
Kila mtu ana ladha yake inayomvutia, wengine wanapendelea mchuchu mwenye cowbell ya kutosha, mwingine anataka mwenye mapokezi nzuri, mwingine anazingatia mchuchu mwenye saburi kubwa, mwingine anapenda flat screen, basi kila mtu na lake!
tulioanguka bafuni mbona tutajibeba....na sura ndo kama tunakamuliwa jipu....uwiiii.....
kazi tunayo preta.. Tutakimbiwa balaa.