Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Ha ha ha...
Nice comment..
tusaidie mi na preta tumenyimwa vyote.
Ha ha ha...
Nice comment..
Hakuna lisilowezekana kwa Mchinesse, watakubadilisha na kuwa ktk dizaini unayotaka! Zegembe aka saburi, poa tu!
...mmh! Wachina tunaogopa.
kazi tunayo preta.. Tutakimbiwa balaa.
.Mkimbiwe na nani? Sie wanaume wa Shoka tunajali Naniliu tu ! Quality ya engine room ndo mzima mpango !
Sura, Saburi peleka kule.
Unadhani huyo anaemiliki Sura tamu, na Zegembe la umwagwe kama upande wa Naniliu akawa horogojo.
Biashara hamna hapo.
Ni kweli kabisa... hio ndio nilikua najaribu ku point out kua hao hao wa radioni kuna siku walisema tofauti... ndio maana kuna msemo kua beauty is in the eyes of the beholder....
Good morning Maranya.... How is the weekend?
Mkimbiwe na nani? Sie wanaume wa Shoka tunajali Naniliu tu ! Quality ya engine room ndo mzima mpango !
Sura, Saburi peleka kule.
Unadhani huyo anaemiliki Sura tamu, na Zegembe la umwagwe kama upande wa Naniliu akawa horogojo.
Biashara hamna hapo.
Jg,
umelengaaa!
Kumbe Zegembe ni makalio....!!
ila preta kapewa kila kitu..sura ndio balaa kama avatar yake ilivyo