Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Ndugu zangu, tusimshambulie mleta mada kwa matusi na maneno ya kejeli, hayo maswali yatatakiwa kupatiwa majibu wakati wa kesi...of course yanaweza kuibuliwa while trying to justify the validity of the killing.
Naomba ufafanuzi ndugu...Una maana kwamba kuna mazingira ambayo mauji yanaruhusiwa endapo mhanga kafanya technical mistake?
Hapa naomba tuweke pembeni hukumu ya kifo. Mbali ya hapo, unieleze ni mazingira yapi ambao kifo ninaweza kuwa fair punishment!