Kosa la Mwangosi: Waandishi warudia Makosa

Status
Not open for further replies.
Well said, kumbe anatakiwa kuvaa sare ili atambulike kirahisi?! Good.
Asante, Inaonekana kama umenielewa

Despite being a target, claim ambayo mahakama pekee, kwa ushahidi usio acha shaka ndio inaweza kuthibitisha as to whether he was targeted to be murdered, sare ingeweza kumtofautisha na mtu asiye mwandishi kwa urahisi, kitu ambacho in one way or another kingeweza kuokoa maisha yake, and not whether he is prominent or not.
Kidogo umechanganya mada. Umeanza kuzungumzia ushahidi wa kuokoa mahakamani, kabla hujamaliza point vizuri ukahamia kwenye kuwa targeted na ghafla ukaenda kuelezea sare na prominence ya mwandishi. Be specific, what do you real want to say? Anyway, we know Mwangosi alikuwa mwanahabari, na tunakubaliana RPC alimfahamu fika Mwangosi kuwa ni mwanahabari. Na tunakubaliana fika kuwa RPC alikuwepo akishuhudia mwangosi akikamatwa, kuteswa na kisha kuuawa mbele yake. Tunakubaliana kazi ya Uniform ni kumtambulisha tu mtu not otherwise. Kama jibu ni Yes kwa maswali yote, how comes uniform tu ndio imfanye asiuawe wakati amekufa na kamera mkononi mwake huku RPC akishuhudia mwanahabari anauawa??

Unataka kutuaminisha kuwa Polisi hawakujua kama Mwangosi ni mwanahabari kwa kuwa hakuwa na uniform. U r very wrong Sir!


Kwanini hakuvaa sare?
Nilieleza hili kwa urefu katika maelezo ambayo ulionekana kama umeyaelewa

Hayo matukio ya waandishi kupigwa Buguruni thats another case ambayo siyo excuse ya mwandishi kutovaa sare!
Kama ulifuatilia tukio la Buguruni, kulikuwa na waandishi wengi pale. waliojulikana ni hawa wawili na makoti yao na wakapigwa hadi mmoja kulazwa Amana. Waandishi ambao walikuwepo bila kuwa na uniform waliokoka kwa kutokujulikana na kisha ndio waliotoa habari kituo cha polisi Buguruni
Polisi au wanajeshi wangapi wameshapigwa au kuuawa mitaani wakiwa hawana sare? Make reference kwa kifo cha polisi mpelelezi huko Tabora kwa kupigwa na wananchi waliojichukulia sheria mkononi, alikuwa hana sare na ni kwasababu tu walimwona ni stranger kwenye maeneo yao na kulikuwa na tukio na wizi alilokuwa anapeleleza.
GOOD! Mpelelezi yeyote huwa ni stranger anayejifanya kuijua sana sehemu husika ili apate taarifa. Likewise, jambazi hujifanya kuijua vema sehemu pia ili asishtukiwe na ndio sababu wananchi walimfananisha mpelelezi na jambazi, wote ni strangers.

By the way, mahali ambapo askari polisi hapendwi au hatakiwi, ni rahisi zaidi kumdhuru akiwa na uniform kulikon akiwa hana uniform kwa sababu ni rahisi kumtambua. Pia kwa mwanahabari, sehemu ambapo hatakiwi ni rahisi zaidi kushambuliwa akiwa na uniform kama vikoti vya wale walioshambuliwa Buguruni, kuliko asipokuwa na uniform.
Sawa, sare sio uandhishi, ila ni muhimu sana kwa kazi yako!
Hope maelezo yoote hapo juu utakuwa umeyaelewa vema hadi hapa.
 
Ndugu wanajf napenda kuungana na waandishi katika kuomboleza kifo cha mwanahabari Mwangosi.

Baada ya kuomboleza napenda kuelezea masikitiko yangu juu ya hulka au kile kinachoweza kuitwa mazoea ya waandishi wa.habari wa Tz. Licha ya majukumu yangu ya leo na kawaida yangu ya muda wa kurejea maskani, lakini leo ilibidi nivunje ratiba yangu kwa lengo la kuwahi nyumbani ili niangalie habari kwenye katv kangu hasa hususani habari ya maandamano ya waandishi.

Lakini nimejuta kwa kupoteza muda wangu. Kwa hiki kifuatacho:

Kwa kawaida, kwa mujibu wa imani zote tunazoamini watz wengi, ni kwamba, tunahimizwa pindi tupatwapo na msiba, tuliyobaki tunahimizwa kutumia fursa hiyo kujitafakari na kutafakari juu ya chanzo cha kifo cha mpendwa wetu kwa lengo la kutorudia makosa kama yapo, yaliyosababisha kifo cha marehemu.

Kama itakmbukwa, wakati tulipokuwa tukijadili msiba wa Mwangosi, kuna mwanabodi mwenzetu aliturai kutumia fursa ya msiba huo kujitazama upya badala ya kuwatupia lawama polisi pekee.

Ni kutokana na rai hiyo, nilitarajia waandishi wetu wangeweza kubaini kuwa, licha ya kosa la polisi aliyefyatua bomu, kulikuwepo na sababu ya awali iliyosababisha kutokea kwa kuanza kupigwa kwa marehemu Mwangosi. Pamoja na sababu zingine ambazo zimetajwa na wadau mbalimbali, kulikuwa na sababu moja ambayo haijatajwa sana nayo ni: MAREHEMU Mwangosi HAKUWA AMEVAA SARE ZA UANDISHI ambazo ni kizibao chenye maandishi ya JOURNALIST.

Hili ndo lilikuwa kosa kubwa ambalo naamini kuwa ndiyo chanzo cha marehemu kuanza kupigwa. Naamini kuwa, lau kama marehemu angekuwa amevaa sare yake, yasingetokea yaliyotokea.

Ni kutokana na imani kuwa waandishi wetu wangekuwa wametambua hilo na hivyo leo wangerekebisha changamoto hiyo kwa kuvaa sare zao za kazi zinazowatambulisha bila ya kuhitaji ushahidi mwingine kuwa wao ni waandishi.

Nimefuatilia habari za waandishi wote waliojitokeza leo, nathubutu kutamka kuwa waandishi wote leo wamerudia kosa la marehemu Mwangosi la kutovaa sare.


Naamini hata kule walikoruhusiwa kuandamana, ni kwa sababu za kishkaji tu kwani polisi walikuwa na haki ya kuwatawanya kutokana na kutokuwa na utambulisho unaowatofautisha na wananchi wengine. Kutokana na udhaifu huo, hata vibaka wangeweza kujichanganya nao na kuanzisha vurugu.

Nawasilisha
umenishangaza sana kwa maoni yako!! for sure you need to go to the class again. kimsingi police hana mamlaka ya kumpiga raia awaye yeyote zaidi ya kumuweka chini ya ulinzi na kumfungulia mashitaka kama ana kosa la kujibu. mwandishi wa habari ni RAIA KWANZA ndio na ndio unafuata uandishi wa habari.anayo haki ya kusikilizwa kwanza kama hajaonesha kutumia silaha yoyote kujihami.kwahiyo hata kama mwangosi hakuvaa sare ya kazi yake haiwapi polisi haki ya kumuua kwasababu yoyote ile. For your information hata wangeandamana wakiwa uchi wa mnyama hakuna mtu mwenye haki ya kufupisha maisha ya mtanzania. kinachotusumbua ni kukosa elimu ya kujitambua.
 
Jamani waandishi, ndio kifo cha mwenzetu kinasikitisha na kinaonekana ni cha kudhamiria, lakini tuipende na kuiheshimu kazi yetu, when it comes to attacks, no matter how prominent you are, they can kill you and come to justify later as a mistake of fact. Make reference to the death of Gen. Imran Kombe.
Very good. Do you know what happened to Gen Kombe?? For your Information, HE WAS TARGETED TO BE SHOT na waliomuua walikuwa wanamjua fika na walikuwa wanajua nini walichokuwa wanakifanya.

That's why leo wale wauaji hawapo gerezani na tuko nao mtaani licha ya kupatikana na hatia mahakamani. Only in Tanzania!!!!
 
kalikenye wewe kuanzia leo sitachangia mada zako kwasababu hukumu zako haziendi sambamba na KATIBA YA JMT,Na kumbuka sisi tumeratify articles za umoja wa mataifa ya kutambua na kuzitekeleza kwa hakika haki za msingi za binadamu na kwamba kuishi ni haki ya msingi kwa binadamu.MWANGOSI SIYO TU KAULIWA LAKINI PIA AMEFEDHEHESHWA.Tuliopo duniani hatuna budi kulaani wauaji pamoja na wanaoshabikia au kuunga mkono kuuliwa kwake.
 
Ndugu wanajf napenda kuungana na waandishi katika kuomboleza kifo cha mwanahabari Mwangosi.

Ni kutokana na rai hiyo, nilitarajia waandishi wetu wangeweza kubaini kuwa, licha ya kosa la polisi aliyefyatua bomu, kulikuwepo na sababu ya awali iliyosababisha kutokea kwa kuanza kupigwa kwa marehemu Mwangosi. Pamoja na sababu zingine ambazo zimetajwa na wadau mbalimbali, kulikuwa na sababu moja ambayo haijatajwa sana nayo ni: MAREHEMU Mwangosi HAKUWA AMEVAA SARE ZA UANDISHI ambazo ni kizibao chenye maandishi ya JOURNALIST.

Hili ndo lilikuwa kosa kubwa ambalo naamini kuwa ndiyo chanzo cha marehemu kuanza kupigwa. Naamini kuwa, lau kama marehemu angekuwa amevaa sare yake, yasingetokea yaliyotokea.

hakuna sababau yoyote ya kundi la polisi kumpiga mtu yoyote hasa ambaye tayari yupo mikononi mwao, hata vibaka wakipigwa na raia barabarani, wakimuona polisi around humkimbilia kwa sababu wanajua atawalinda na kifo na kuwapeleka kituoni hadi pale watakapowajibishwa kisheria. Hata kama hao polisi wa kwenye tukio walidhani Mwagosi ni kibaka, ilikuwa kosa kubwa kumpiga achilia mbali kumuua. Pls, waandishi au mtu yoyote kutovaa badge za kazi, name tags au uniform hakuwafanyi wageuke ngombe na mbwa vichaa mtaani. thread kama hizi huwa zinanifanya nitake kutukana matusi makubwa sana humu, basi tu nanyamaza kwa sababu naamini kwamba heshima ni kipimo cha utu.

jiweke kwenye their shoes, hivi wewe ukiwa huna uniform ya kazi, huna silaha,then for whatever reason, kundi la polisi likakuzunguka na kuanza kukupiga ingekuwaje?
 
Acha kuandika vitu visivyoingia akilini...Mwangosi kuhudhuria maandamano huku ukiwa umevaa mavazi ya uraiani adhabu yake si kuuawa kinyama kama alivyouawa. Hakuna upande wowote wa pili wa shilingi kama unavyotaka watu waamini.

Mwangosi kama muandishi alikuwa na haki zote za kuhudhuria maandamano yale na hakukuwa na sababu zozote za polisi magamba kumjeruhi achilia mbali kumuua kinyama kama walivyofanya polisi.

Ndugu wakati unaendelea na lawama zako juu ya polisi, tumia fursa hii kutazama upande wa pili wa shilingi kwa kujiuliza swali lifuatalo: Je angevaa sare angukuwa treated kama hivyo?
 
Kalikenye is playing some kind of yet unknown game ...!! Is not the fool all the way through ...!!!
 
Akili yako yanaonyesha ulivyo kituko hata kwa familia yako.
Siku nyingine umuulize mkeo kama unae kabla hujaandika huu upuuzi.

Mkuu jamaa hajatetea mauaji bali amehimiza waandishi wanapokuwa site esp sehemu zenye vurugu at list wavae sare... Hata kama wanajulikana .. mleta mada ana point.. acha kutetea upuuzi..
 
Mleta mada umeleta mada sahihi!!! Utambulisho wa PRESS ama JOURNALIST/MWANDISHI ni kweli kwamba huleta treatment tofauti na mwingine yeyote!
Tunajaribu kupinga lakini tunaona wapi tumekosea na kwa kuwa ni kawaida kutokuwa na vizibao hivyo tunaona ni sawa!
Moja ya treatment kama mwandishi amevaa utambulisho wa wazi ni kutohusishwa na kadhia iliyopo naye kuonekana kama ni miongoni mwa waliopewa amri ya kutawanyika na kukaidi!mfano ulio wazi ni kwamba angeweza hata kuambatana na askari wakati wanatawanya kusanyiko lililokaidi amri ya kutawanyika
Kusubiri kusema "mimi ni mwandishi" wakati wa kutekeleza ni kujipalia makaa ambayo mwisho wake si mwema!
Vitambulisho vya wazi tunaona ni kama RED CROSS/PRESS nyakati za vita,hawa hawalengwi moja kwa moja labda iwe bahati mbaya

kwa hiyo ni ruksa kwa kundi la polisi kumkamata na kumpiga hadharani yeyote aliopewa amri ya kutawanyika na kukaidi??
 
Please read btn the lines not on lines. Hoja yangu ni kwamba, licha ya makosa ya polisi, kuna another contributory cause nayo ci nyingine bali mazoea ya waandishi ya kutovaa Sare kwa kudhani kuwa wanafahamika katika mazingira yote.

kutokuvaa sare hakuwezi kuwa contributory cause ya mtu yoyote kupigwa na polisi, polisi (especially kikundi cha polisi) hawatakiwi kupiga wahalifu (hata kama Mwagosi angekuwa mhalifu), wanatakiwa kuwapeleka kituoni ili wafunguliwe mashtaka. kwa hiyo hakuna ushahidi wowote unaoonyesha Mwagosi angekuwa na na uniform asingepigwa/kuuawa

video zinaonyesha walikuwa wanajua wanachokifanya, kama ingekuwa ni maandamano na wakamkamata kibaka mmoja mkaidi wa amri yao ya kutawanyika , wasinge mtreat vile...wangem sukuma kwenye tinga tinga na kumsweka rumande
 
Ndugu wakati unaendelea na lawama zako juu ya polisi, tumia fursa hii kutazama upande wa pili wa shilingi kwa kujiuliza swali lifuatalo: Je angevaa sare angukuwa treated kama hivyo?

hivi tafsiri yako kuhusu majukumu ya polisi ipoje? yaani polisi apige mtu kwa sababu yeye ni polisi? mtu hana silaha, hajafanya fujo, lakini ni haki ya polisi kumpiga virungu tu na kumalizia na bomu.
kwa sababu tusichukulie tu kwamba huyu alikuwa ni mwandishi chukulia ange kuwa raia mwingine yoyote tu, Polisi walikuwa na haki ya walicho fanya kama sio unyanyasaji na matumizi mabaya ya madaraka na resources zetu?
 
Mkuu ahsante kwa kuona ukweli. Mashambulizi yanayotokea hapa ni kielelezo cha wasio na uzoefu. Mie niliwahi kuifanya hii kazi nazfahamu cjangamoto zake. Tukio kama nusura linipate Agosti 7 mwaka 1998 kwenye ubalozi wa Marekani ambapo dogo wa Navy alipotunyooshea bunduki akitutaka tukae mbali licha ya kamera zetu shingoni, lakini it was simply bcoz hatukuwa tumevaa sare za Press.

ewwww!! yaani hii bab kubwa, leo hii ufunguzi wa tawi unafananishwa na terrorist attack ya bomu la ubalozi wa Marekani. wale waliosema ccm wana act kana kwamba kila tawi jipa la cdm ni bomu moja la nyuklia kwa ccm nilidhani wanatumia figure of speech...dumb me....
 
Akili yako yanaonyesha ulivyo kituko hata kwa familia yako.
Siku nyingine umuulize mkeo kama unae kabla hujaandika huu upuuzi.
mkuu nimeipenda hii ila naona ni bora zaidi siku nyingine awaulize wazazi wake waliomleta hapa dunia kuandika upuuzi kama huu
 
Hii ni pumba ya mwaka, yaani uharo uliojaa mchanganyiko wa maji na mafuta ya swaini...!!! U need treatment ya mwili mzima, ...including ubongo transplant !!
 
hapa naona hata great thinkers kama tunasingizia. kama kweli kuna watu wenye kuandika upuuzi kama huu ina maana hata wanajiita great thinkers kumbe hamna kitu kabisa pumba mtupu
 
Mtoa mada, imagine... pale August 7 1998, hao kina dogo wa Navy wangekuwa kama 5 au sita hivi wamevaa uniform na silaha, halafu labda wewe na wenzio mngekataa kukaa chini au mngekaidi kwa namna yoyote ile, then wakakurukia na kukupa kipigo, wakiwaacha wenzio pembeni wanatake photos na kukimbia hovyo, halafu wakakumalizia kwa kukuua....

(nimejaribu tu kutumia mifano yako ku imagine the "worst" scenario ili kupata huo "upande wa pili wa shilingi")

yaani hata kwenye situation mbaya na kushtukiza kama terror attack action kama hizo hazi make any sense, sembuse kwenye ufunguzi wa tawi ambao ulikuwa unajadiliwa tangu asubuhi. Napenda sana kuangalia upande wa pili wa shilingi, lakini kwa hili..sorry, I dont see any...
 
Mtoa mada hii nachelea kusema wewe ni "MPUMBAVU SANA" yaani unaangalia kizibao wakati askari wana makosa waliyoyafanya kwani kwa hali ya kawaida kuna sheria ambayo inamruhusu askari kumpiga RISASI mhalifu ambaye tayari yupo chini ya ulinzi tena mtu ambaye hata picha za video zinaonyesha hakuwa mbishi zaidi ya kuitetea roho yake.

Wewe ni muuaji mkuu au unanjaa mbaya inakusumbua! Pole maana unatakiwa kutubu mara moja!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom