Andindile
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 304
- 16
Wako tayari kuwashambulia kwa sababu North na South Korea bado vipo kwenye vita hadi leo. South Korea wala Marekani hawezi kuvamia North Korea unless alete ukorofi kwanza. Ni waste of resources kurusha Rockets wakati chakula hakuna, wamarekani sidhani kama wana shida ya chakula.
Ninachosema mimi ni kuwa North Korea sio mfano wa kuigwa na wala sio mfano mzuri kwa Tanzania, tutapelekana pabaya sana.
Kama tunataka kuiga kwanini tusiige South Korea, Japan etc?
Unauhakika kuwa hawawezi kushambuliwa na Marekani au Korea kusini? Kwanini Mmarekani amlebel kuwa ni Axis of Envil? wanafanya majaribio ya makombola wao, marekani na korea ya kusini yanawahusu nini? Mbona wao wamehifadhi mashehena kibao ya makombola nani anawauliza? Halafu wanakimbilia umoja wa mataifa kuwa iwekewe vikwazo, hivi wamerekani wameambiwa kuwa wao ndio kilanja mkuu wa dunia? Korea sio ya kuigwa lakini tunaweza kuiga moyo wa kufanya kazi kwa ajili ya kuleta maendeleo. Chakula watanunuwa wapi wakati wamewekea vikwazo? Si wanataka wawanyenyekee na kuwalamba miguu ndipo watoe chakula?