Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Nchi ya North Korea kwa miongo mingi sasa imekuwa ikitengwa katika mambo mengi ya jumuiya ya Kimataifa nakuwekewa vikwazo vya kila aina. Na yenyewe ikiwe imejitenga kwa mambo mengi inashangaza kuona kuwa nchi hii ambayo imetajwa kwa kila namna mbaya na nchi za magharibi iko mbele kimaendeleo kuliko Tanzania nchi yenye idadi mara mbili ya watu wa Korea Kaskazini, demokrasia ya vyama vingi, mahusiano mazuri na mataifa ya magharibi n.k
Hata Cuba, Vietnam, China, Venezuela, Uhispania nchi zenye mrengo wa kisoshalisti zinapiga maendeleo mbele kuliko nchi ya kibepari kama ya kwetu. Tatizo ni nini hasa? NI mfumo wa kisiasa, ni mwelekeo wa uongozi, au kitu gani hasa?
Lakini hasa ni North Korea inawezekanaje kataifa kama North Korea kuwawekea ngumu Obama na washirika wake na kuendelea kufanya utafiti wa mambo ya kiteknolojia bila ya kuabudu au kufuata kitabu cha maelekezo kutoka Ulaya na Marekani?
Je na sisi tuwawekee ngumu kina Obama, Brown na wenzake na tuone kama tunaweza kupita hatua za maendeleo mbele? Je kwa kuamua kufanya mambo bila kuwatilia maanani wakubwa hawa yawezekana tukachochea ubununifu wetu wenyewe?
Fikiria kwa nchi kama Tanzania inayopokea misaada mingi, ina marafiki wengi bla bla bla GDP (nominal) = 16.691 Billions USD na Per Capita income ya 428USD. Population yake karibu milioni 40 Literacy level ya tanzan ni 69.4 wakati makadirio ya uhai ni miaka 50 kwa wanaume na 53 kwa wanawake.
North Korea kwa upande wake, pamoja na matatizo yake na kutengwa na jumuiya ya kimataifa GDP yake ni 26.2 Billions USD; Per capita ni 1800USD; population yake ni watu milioni 23 hivi na life expectancy ni miaka 69 kwa wanaume na 75 kwa wanawake. Literacy level ni asilimia 99!! (Hata Marekani haijafika hapo!)
So, why this picture don't make any sense!? Yawezekana uongozi wa kidikteta una manufaa kwa watu wengi zaidi kuliko uongozi wa kina mjomba?
Hata Cuba, Vietnam, China, Venezuela, Uhispania nchi zenye mrengo wa kisoshalisti zinapiga maendeleo mbele kuliko nchi ya kibepari kama ya kwetu. Tatizo ni nini hasa? NI mfumo wa kisiasa, ni mwelekeo wa uongozi, au kitu gani hasa?
Lakini hasa ni North Korea inawezekanaje kataifa kama North Korea kuwawekea ngumu Obama na washirika wake na kuendelea kufanya utafiti wa mambo ya kiteknolojia bila ya kuabudu au kufuata kitabu cha maelekezo kutoka Ulaya na Marekani?
Je na sisi tuwawekee ngumu kina Obama, Brown na wenzake na tuone kama tunaweza kupita hatua za maendeleo mbele? Je kwa kuamua kufanya mambo bila kuwatilia maanani wakubwa hawa yawezekana tukachochea ubununifu wetu wenyewe?
Fikiria kwa nchi kama Tanzania inayopokea misaada mingi, ina marafiki wengi bla bla bla GDP (nominal) = 16.691 Billions USD na Per Capita income ya 428USD. Population yake karibu milioni 40 Literacy level ya tanzan ni 69.4 wakati makadirio ya uhai ni miaka 50 kwa wanaume na 53 kwa wanawake.
North Korea kwa upande wake, pamoja na matatizo yake na kutengwa na jumuiya ya kimataifa GDP yake ni 26.2 Billions USD; Per capita ni 1800USD; population yake ni watu milioni 23 hivi na life expectancy ni miaka 69 kwa wanaume na 75 kwa wanawake. Literacy level ni asilimia 99!! (Hata Marekani haijafika hapo!)
So, why this picture don't make any sense!? Yawezekana uongozi wa kidikteta una manufaa kwa watu wengi zaidi kuliko uongozi wa kina mjomba?