Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 4,820
- 8,886
Inaonekana tatizo linalotukabili tumeshalijua-atleast wengi wetu. Kwamba ni uongozi mbovu, ukosefu wa uadilifu na kutowajibika kikamilifu.
Sasa naomba niulize: Huo uongozi unapatikana vipi??? Do we get our leaders from Mars?
Kwa hiyo fundamental issue hapa ni namna ya kubadili mfumo wetu wa kupata viongozi kusudi tuweze kupata viongozi waadilifu na wachapakazi. Hapa hakuna swala la teknolojia wala misaada. Tatizo liko kwetu tunaochagua hao viongozi. Either sisi ndo hatujui tatizo ni nini au tunaamini kwamba uongozi siyo tatizo. Na kama tatizo siyo uongozi basi adui yetu yuko kwingine..tuendelee kumsaka!
Hatuwezi kulia lia kila siku eti wanaotukwamisha ni viongozi wasio waadilifu wakati tukipewa nafasi ya kuweka viongozi tunaoona wanatufaa.. tunachagua wale wale. Sasa hapo mwenye tatizo ni nani haswa? ni kiongozi aliyechaguliwa au ni wewe uliyemchagua..halafu baadaye unaanza kumlaumu? na hata ukimlaumu..akirudi tena unamchagua..si na yeye anakuona punguani?
Kuna jamaa alisema: "stupidity is doing the same thing over and over again expecting different results"
Kwa hiyo kama tunafanya yale yale kila baada ya miaka mitano, we can as well forget this debate ya maendeleo! Unless adui wa maendeleo yetu yuko kwingine na si uongozi. Sad but true.
Masanja,
Sasa naomba niulize: Huo uongozi unapatikana vipi??? Do we get our leaders from Mars?
Kwa hiyo fundamental issue hapa ni namna ya kubadili mfumo wetu wa kupata viongozi kusudi tuweze kupata viongozi waadilifu na wachapakazi. Hapa hakuna swala la teknolojia wala misaada. Tatizo liko kwetu tunaochagua hao viongozi. Either sisi ndo hatujui tatizo ni nini au tunaamini kwamba uongozi siyo tatizo. Na kama tatizo siyo uongozi basi adui yetu yuko kwingine..tuendelee kumsaka!
Hatuwezi kulia lia kila siku eti wanaotukwamisha ni viongozi wasio waadilifu wakati tukipewa nafasi ya kuweka viongozi tunaoona wanatufaa.. tunachagua wale wale. Sasa hapo mwenye tatizo ni nani haswa? ni kiongozi aliyechaguliwa au ni wewe uliyemchagua..halafu baadaye unaanza kumlaumu? na hata ukimlaumu..akirudi tena unamchagua..si na yeye anakuona punguani?
Kuna jamaa alisema: "stupidity is doing the same thing over and over again expecting different results"
Kwa hiyo kama tunafanya yale yale kila baada ya miaka mitano, we can as well forget this debate ya maendeleo! Unless adui wa maendeleo yetu yuko kwingine na si uongozi. Sad but true.
Masanja,