Umesali/swali asubuhi?
me nilalapo, niamkapo nasali, hata watoto wanajua kusali,
Wewe dawa yako nikuwekee maombi maalum,nisali na kufunga ili pepo la jf likutoke,lol! Kutwa uko jf mpaka sa tisa alfajiri!
Safi kabisa,kula 'like' kumi za nguvu.
Nassari huyuhuyu au mwingine?
He! nimechanganya mada...!!!
Kwa hiyo we na yeye mko kwenye bebi kam bak?
Ni usiku,unasikia usingizi,unajiandaa kulala,badala ya kusali/kuomba dua umshukuru Mungu/Subhana wataal kwa kukuwezesha uamke salama,ushinde salama,ulale salama wewe unakimbilia jamvini uchungulie kunani kabla ya kulala,bishanga nasema komeni hii tabia.Sali/omba/msujudu Mola wako kabla hujaingia kitandani.
Mungu awabariki/Wasalam aleikum Muhammad Wabarakatum.
Nyote laleni salama.
Bishanga wakati wenzio tunabembeleza na kubembelezwa tulale we unafikiria chakutungia uzi?!Siutafute mpenzi na wewe uwe unapumzika kidogo?!
Niko macho mkuu,najiandaa kwenda kufakamia minyama na mi henken,weekend leo.
AMEEEN baba kadogoo!Sali kabla hujaswaliwa/sali kabla hujaimbiwa mapambio.