komeni hii tabia

shemeji bishanga mzima weye? yaani umenigusa vibaya mno! fo sure i should stop this addiction, lolest!
 
Lol Bishanga kama kawaida yako......ila nashukuru kwa kutukumbusha. Swali ni bora alieingia kuchungulia kama kuna jipya au yule alieingia kuanzisha uzi kama wewe???!!muone kwanza...ujijengee tabia ya kusali kwanza ww ndio uwaambie wengine.

Nimesikia sauti inaniita...bishanga amka ukemee shaitwan.
 
Last edited by a moderator:
Asprin ni kibuzi tu pamanenti, nilimtenga baada ya huzband kurudi naona anaya alifukuzwa na nyumba ndogo zaka akaamua kurudi home.

Ningemkataa?
Nayakemea yaliyokupanda we kichwani mpaka ukatengana na mshua aspirin.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom