Lol Bishanga kama kawaida yako......ila nashukuru kwa kutukumbusha. Swali ni bora alieingia kuchungulia kama kuna jipya au yule alieingia kuanzisha uzi kama wewe???!!muone kwanza...ujijengee tabia ya kusali kwanza ww ndio uwaambie wengine.
Bwebwe? Ndo nini hicho?
Nimesikia sauti inaniita...bishanga amka ukemee shaitwan.