Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Naomba kuuliza, ni kipi kilimsibu Salmin na kampeni yake ya kuongezewa muda kugombea Urais?
Maana naona yeye ni kiongozi wa pili kutoka Zanzibar ambaye aliishia "kudhibiiwa" na CCM!
Maana naona yeye ni kiongozi wa pili kutoka Zanzibar ambaye aliishia "kudhibiiwa" na CCM!