bigboss1
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 319
- 195
Hapana sio vizuri heshimu mtu uheshimiwe sasa Yesu sio wakumtajataja kama wanavyotaja watu wengine licha ya kusema.mwanafunzi wa Yesu mara yeye nipop hiyo nikijitakia malaana na mikosi zinadine ni mtu wakawaida hata ukikiita sawa Ila vitu vitakatifu mviache mbali viwe vya wa kristo wa islam dini yeyote msivitanie maana waumini wote wanaviheshimu nakuviogopa sasa wewe utajiitaje kristo Au Yesu Au Petro Au Mtume Mohamad mimi siwezi maana sio busara heshimuni dini za watu nanyie muheshimiwe ona sasa kwa laana kaleta fujo nchi za watu kafungiwa matamasha.
Watu waache viherehere waangalie na mienendo yao nwisho wa siku utajikuta pabaya wewe jiite ronaldo,maya,zinadine,de caprio,rihanna ,Jay Z ,na wengine mastaa wandani na njee ila acheni kuchezea vitu vitakatifu.
Watu waache viherehere waangalie na mienendo yao nwisho wa siku utajikuta pabaya wewe jiite ronaldo,maya,zinadine,de caprio,rihanna ,Jay Z ,na wengine mastaa wandani na njee ila acheni kuchezea vitu vitakatifu.