Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,160
Au labda matiti yake yalikuwa madogo lol...
kesi hiyo aje ajibu mwenyewe
Au labda matiti yake yalikuwa madogo lol...
ingeendelea kuwepo labda matiti ya kichina yasingekuwepo.. hivi ilikuwa inatozwaje vile?
Umewaza kama mimi TANMO... Ila bado nahisi kaba anatudanganya!..
haha umewaza mbaali kweli!ilikuwa inatozwa kwa kila mwenye matiti lol
siku hizi kuna wanaume wenye matiti, ina maana hii kodi ingewahusu pia?
Ngoja jpili nitakustua maana nishajua ndio chimbo lako pale!!!Umeniona wapi bibie!
hehehe halafu wanayo makubwa hayo kuliko hata wanawake mambo ya blueband hayo,ila mimi najua liitwa hivyo ili ijulikane inawahusu wanawake
ingeendelea kuwepo labda matiti ya kichina yasingekuwepo.. hivi ilikuwa inatozwaje vile?
haukuwahi kuilipa wii?utakuwa ulikuwa bado mdogo
hahahaah!! Eti kodi ya matiti, hii ni joke ya hali ya juu i.e ya kufungulia wiki.
kama hujalipa
mgambo anafanya kama kwenye avatar yangu kwa nusu saa
hiyo picha nilipiga enzi hizo
ndo nilikuwa mkusanyaji
huoni navyoikusanya hapo avartani
siku hizi kuna wanaume wenye matiti, ina maana hii kodi ingewahusu pia?
tena hao wanatozwa vibaya?
Ya matiti na vichwa!
Na uanze kuvipenda vituko vya ukoo wao manake unakaribia kuwolewa na Katavi!Hahahahaha! Katavi ukoo wenu una vituko. Lol, yule ndugu yako aliyefurahia kufeli kwa kuogopwa kurogwa hajambo?
Na uanze kuvipenda vituko vya ukoo wao manake unakaribia kuwolewa na Katavi!
wanahakikisha wanacompensate na kodi ya mwakani kwa mkeo,hatari kabisa hii