maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,277
- 5,514
Enzi hizo bwana mgambo wanakamata watu kodi ya kichwa.....yaani watu walikua wanakimbia balaa...tukiwa wadogo wakija mtaani kwetu basi tunakaa kona ya mtaa na kuanza kushtua watu kuwa kuna mgambo wanakamata watu kodi weee.wengine wabishi bwana ilikua balaa..
hata hivyo hakuna kitu nilikua sipendi kama sanya sanya ya polisi kwa kutumia magari yao (karandinga) actualy yalikua Leyland comet.....we mnakamatwa ijumaa mnaachiwa jtatu ...kama huna hela imekula kwako....ile ilikua unyanyasaji.....
Wadau mnakumbuka nn kuhusu hayo mambo mawili? je ilikua sawa?
hata hivyo hakuna kitu nilikua sipendi kama sanya sanya ya polisi kwa kutumia magari yao (karandinga) actualy yalikua Leyland comet.....we mnakamatwa ijumaa mnaachiwa jtatu ...kama huna hela imekula kwako....ile ilikua unyanyasaji.....
Wadau mnakumbuka nn kuhusu hayo mambo mawili? je ilikua sawa?