Mamy D
Member
- Feb 4, 2012
- 33
- 22
Wakiirudisha miaka hii rushwa itatawala badala ya kuongeza pato la taifa!Irudi ili pato la serikali liongezeke.....lol.
Wakiirudisha miaka hii rushwa itatawala badala ya kuongeza pato la taifa!Irudi ili pato la serikali liongezeke.....lol.
Mie mzima sana aiseee,
Kuna mahali nimekuona alafu!!
Inawezekana ile kodi ilikuwa ikitozwa vijijin tu?
Basi walikuwa na raha!
jamani watu walikuwa wanahama makazi yao kabisa.
Afu ile ya baskel, kama huna wanaondoka hata na baskeli yako. Sijui hizo power walikuwa wanapata wapi?
Afu ilikuja na staili ya kupitia mgambo kwa lazima.
Wadada wengi walikuwa wanaolewa ili wasipelekwe huko, yaani Ujima nao ulikuwa na mambo.
Kodi za matiti,ilikuwaje mkuu?bibi hakukimbia?
Siku hizi mtu hakimbii,aidha ngumi zinapigwa kwanza,au analipa ili aepuke kero za kusumbuliwa kila siku
Kodi za matiti,ilikuwaje mkuu?bibi hakukimbia?
Kodi za matiti,ilikuwaje mkuu?bibi hakukimbia?
Mmmh!! Kodi ya matiti? Ni ipi hiyo?
nataka kuja kulipa hii
nine??
dont tell me there was this type of kodi..!!!
Khaaa, jamani! Sasa ilikuwa unadaiwa kama una titi kubwa ama? Nifafanulie wifi!yah absolutely,it was there.
Au labda matiti yake yalikuwa madogo lol...haukuwahi kuilipa wii?utakuwa ulikuwa bado mdogo
yah absolutely,it was there.
Umewaza kama mimi TANMO... Ila bado nahisi kaba anatudanganya!..ingeendelea kuwepo labda matiti ya kichina yasingekuwepo.. hivi ilikuwa inatozwaje vile?
@kabakabana lol, nimecheka sana!...
@ Katavi sijabahatika kujua kodi ya kichwa ndio nini, labda vile sijawahi ishi na bibi/babu (RIP) wanisimulie!
Khaaa, jamani! Sasa ilikuwa unadaiwa kama una titi kubwa ama? Nifafanulie wifi!