Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,929
Haaaa haaa,Dunia yote hii wapo tu na wengine wengi sema wamejificha!watu wa dizaini yako ni wachache sana, una bahati nimeshoa.
Mzima lkn mkuu!
Haaaa haaa,Dunia yote hii wapo tu na wengine wengi sema wamejificha!watu wa dizaini yako ni wachache sana, una bahati nimeshoa.
Haaaa haaa,Dunia yote hii wapo tu na wengine wengi sema wamejificha!
Mzima lkn mkuu!
Mimi naona avae kama wewe kwenye hiyo avatar yako...huyo jamaa lazima adate!Vaa kwa heshima ila kupendeza muhimu usioverdress wala kujipamba .kuwa natural ila upendeze
best wishes
Duh kweli, JF is never Boring.
nishaeleza hapo juu, msaada wajameni, nisije tia aibu mwenzenu
Asante mkuu,mie ni pure african "SHE" bwana!Mie yahke mzima wa afya, nimeipenda sana sana comment yako, kweli nasema ukweli kama ulichokiandika ndivyo ulivyo, basi wewe ni miongoni mwa wanawake (kama u-mwanamke maana JF tunachanganya tu) wenye upeo wa juu sana. Keep it up Mpwa
hongera kwa kupata mtoko! nenda salon tengeneza nywele zako ziwe nzuri, pili inategemea huo mtoko unakwenda sehemu gani shosti 5,4,3 star hotel ama club au pub.
1. 5,4,3 star hotel vaa kagauni simple kafupi ifikie kwenye magoti yaani magoti yaonekane nusu linaweza kuwa la rangi moja ama mchanganyiko wa
rangi, kiatu chako sio kirefu sana wala cha flat kiwe saizi ya kati na kipochi cha ushkaji( vipima joto) herni ndefu.
2. Club - vaa suruali ya linen na top nzuri na flat shoes ( viatu wanaviita v-simple)
3. pub - vaa jeans na t-shirt na na sandals nzuri
Nimeona, lakini mie naona kama sio vilee, ngoja nizijaribu, maana ninazo zinazoshabihiyana na hizo