Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Ndahani uko sahihi kabisa.......sifa za watu baki haziwezi kumfanya mwanaumme avimbe kichwa na avumilie kijike ambaye anamdharau.........
Ruta,
Waswahili wanasema ukitaka kula nguruwe chagua aliyenona...tumechanganya na kuchaguana kwenye maisha ya ndoa maana mashallah, watu wanaweza kuwa wamenona lakini wanaishi bila furaha kabisa. Sasa inasaidia nini? Tungejua maisha yanataka nini pengine tungesahau hiyo habari ya nachukua jamaa mpaka mtaa mzima watanikoma. Badala ya mtaa kukoma unakoma mwenyewe.