Kweli siyo masihara NEC imeamua kuchakachua uchaguzi hata hapa dar kata ya Tabata hilo limetokea kunakituo kimehamishwa kutoka kituo halisi cha awali zahanati hapo karibu na Tabata Shule na kupelekwa Umoja Road na kupewa jina la Tushikamane lengo likiwa nikuwahangaisha wapiga kura hatimae mwisho wasiku wasipige kura wito naomba wananchi kwa maeneo yao husika wafanye uhakiki wakina kubaini mapungufu yote.