Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
Jana barabaa ya mwenge pale ITV ulipita msafara wa Makamu wa Rais Bilal...cha kushangaza kulikuwa na matrafik wakizuia magari ili kuupisha msafara na magari yote yalikaa kando. Pikipiki ya ya king'ola ikapita kasi!!
Sasa cha ajabu kwa mbele kuna gari ya kawaida tu, ikawa inakuja, ile gari ilikuwa na plate No ya kijani, trafic wamejaribu kuisimamisha ile gari haikusimama....na mara ule msafara wa Bilal ukapishana na ile gari. Kilichoendelea mi sijui.
Swali: Kwanini hii gari haikusimama??(Inasemekana gari za PN ya kijani ni za UN), wamedharau msafara wa makamu wa Rais?? Je kuna sheria yoyote inayotoa jibu ya hii kitu?
Usalama: Vp kwenye suala zima la usalama??mfano ile gari ingesababisha ajali kuigonga gari ya bilal ingekuaje?? Au tuassume alipanda ile gari ana silaha ya moto kumdhuru Makam wa Rais??
Sasa cha ajabu kwa mbele kuna gari ya kawaida tu, ikawa inakuja, ile gari ilikuwa na plate No ya kijani, trafic wamejaribu kuisimamisha ile gari haikusimama....na mara ule msafara wa Bilal ukapishana na ile gari. Kilichoendelea mi sijui.
Swali: Kwanini hii gari haikusimama??(Inasemekana gari za PN ya kijani ni za UN), wamedharau msafara wa makamu wa Rais?? Je kuna sheria yoyote inayotoa jibu ya hii kitu?
Usalama: Vp kwenye suala zima la usalama??mfano ile gari ingesababisha ajali kuigonga gari ya bilal ingekuaje?? Au tuassume alipanda ile gari ana silaha ya moto kumdhuru Makam wa Rais??