Kituko cha mwaka - Wananchi wa Vunjo wamtuma mwakilishi wao Bungeni kuomba kupewa rasmi ardhi na Serikali ili kufanya makazi mapya

Kweli ujinga mzingo, huenda umedandia mada bila ielewa kama mleta thread alivyokurupuka kuandima hii post.

Unajua maana ya jamii kutaka kupewa ardhi?! Hapa tinaongelea jamio kubwa sio mtu mmoja mmoja anayetaka let say hekari kumi, ishirini au hamsini, hapa tunaongelea kuhama kwa jamii kubwa, unapotaka kuhamisha jamii kubwa sio jambo la mchezo mchezo kama unavyofikiri, sio jambo la kama wamasai kuhama na ng'ombe zao, au wamang'ati kuzurura kule morogoro,

Hapa unazungumzia Chagga's caravans au chagga's treks, jamii kubwa kuhama kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine kama ilivyotokea enzi za miaka ya 70's mwl nyerere alivyowapa maeneo Rukwa, Tanga na Morogoro. Kama jamii zilivyo hamishwa kupelekwa kwenye vijiji vya ujamaa, sio jambo la mtu mmoja au wawili au kumi kwenda kununua ardhi ndogo au mashamba ya hekari kumi au mia. Hapa uelewa unahitajika sana!
Mnataka kuhamisha jamii ili iweje? Huo si ndiyo ukabila? Hao waliohamishwa miaka hiyo katika hizo sehemu ulizozitaja hali ikoje sasa hivi? Hawajachanganyika na jamii nyingine au wamejitenga wao peke yao?
 
wewe kweli wa jana. kwa taarifa wachaga waliwahi kuhamishiwa handeni, mpanda, kilosa nk. wakati wa awamu ya kwanza ili kuondoa msongamano. Haijaleta ubaguzi wowote na wamechanganyikana na wenyeji wao. Watu wa sasa ndio wabaguzi. NENDA HUKO UKACHUNGUZE
Mi siyo mchaga, lakini mahali popote mchaga alipotua kutokana na uchakalikaj8 mabadiliko yalionekana.
Mikoa mingi imechangamshwa na wachaga hiyo ni asili yao. Hivyo tusiwe wabaguzi na tukisinzia wacha tuamshwe.
 
Yaani Mbunge wa Vunjo mwenye PhD anamwomba Waziri wa Ardhi awapatie Wachagga wa Vunjo ardhi kwingineko katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sababu ni ili walime kwani kwao wamegawana ardhi kwa mila zao na kujikuta na vipande vidogo sana ambavyo mtu hawezi kulima. Eti wamesongamana, si mpunguze kuzaana.

Hivi huyu Mbunge na hao wachagga wenzie hawaijui Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu freedom of movement?

Hivi yeye mhe. Dr Kimei alipojenga Dar es Salaam na kupata ardhi kubwa Dar mbunge wake wa wakati huo ndio alienda bungeni kumuombea hiyo ardhi? Yaani kabisa anataka annexation ya mkoa wa Kilimanjaro! Au Vunjo nzima ni registered company?

Hivi hao Wasukuma waliojaa huko Mbeya na Morogoro waliomba wapewe hayo maeneo bungeni kupitia wawakilishi wao?

Kwa fikra zake kama hizi huyu bwana hafai kabisa kuwa kiongozi wa juu katika taifa hili kutokana na misingi yake.

Sisi tunahitaji barabara ya kupandisha hapo Uchira mpk kisomachi secondary , yeye anaomba ardhi ya kulima? Jamani mbn kazi ipo!!
 
Mnataka kuhamisha jamii ili iweje? Huo si ndiyo ukabila? Hao waliohamishwa miaka hiyo katika hizo sehemu ulizozitaja hali ikoje sasa hivi? Hawajachanganyika na jamii nyingine au wamejitenga wao peke yao?
Ndio maana nawaita nyie wapumbavu bora hata mngekuwa wajinga ungewatoka!

Nyerere alipowapa ardhi miaka ya 70's hakuona kwamba ni ukabila?! Ina maana nyeerere alikuwa mkabila kuliko huyu JIWE mwananzengo anayewajaza wasukuma wizara zote?! Nyerere aliwajaza wazanaki wizarani?!

Kama kupewa ardhi ni ukabila wale wakiohamishwa kwenye vijiji vya ujamaa wakikuwa wakabila?! Warundi na wasomali waliopewa ardhi walikuwa wakabila?! Acheni upumbavu wenu hebu ficheni ukabila wenu na chuki zenu za kizamani hata kidogo!
 
Wewe usicheze na nchi iliyobarikiwa. Dhahabu almas, ng'ombe kila kitu kinapatikana
Ahahaaa! Niemcheka. Kama mazuri, eti nchi iliyobarikiwa! Baraka my foot!

Alma's na dhahabu wanafaidi nani?! Wasukuma wangekuwa masikini vile kwakuishi katika vijumba vya tembe na kukandika kwa udongo na mavi ya ng'ombe?!

Hivi unadhani watu hatujawahi kufika mwanza, shinyanga, simiyu na geita ?! Kwenye takwimu za umaskini miongoni ya mikoa inayoongoza kwa kiwango cha umaskini ni geit na shinyanga ! Wakati mikoa inayoongoza kwa utajiri ni (1) Dar es salaam ukifiatiwa namba mbili na (2) Kilimanjaro! Acha upumbavu basi nenda katafute takwimu za umaskini nchini.
 
Koma kabisa kulinganisha kabila la watu ml 8 na kakikundi ka watu laki tatu. Unalinganisha mzanaki na msukuma ? We hovyo kabisa.
Ulivyo zuzu na mpumbavu unadhani kuendesha nchi ni sawa na kuendesha ile mikokoteni yenu ya kuvutwa na punda kule majarubani.

Wee juha, ngoja nikufundishe nini maana ya kuongoza taifa, kuna kitu kinaitwa "check and balance!" Kwenye taifa lenye makabila zaidi ya 121 huwezi kujaza watu wakabila lako tu kwenye kila wizara na kila idara au watu wakanda yako tu ya ziwa eti kisa wao ni wengi, ingekuwa hivyo tungegawana wizara kikabila tukianza na makabila makubwa na mwishowe tungekuja kugawana idara hata kidini.

Tanzania sio taifa linalofuata itikadi ya kikabila ndio maana baba wa taifa alikemea hili kwa nguvu zake zote mpaka siku anachukuliwa na umauti, Leo Tanzania ingekuwa nchi ya wazanaki, wakurya , wajita, waikizu na wajaluo. Ingekuwa nchi ya wakatoliki tu.lakini nyerere aliipinga hili akasema hawezi kuchukua wakimbizi butihama na kuwapeleka ikulu.

Check and balance inatakiwa kutekelezwa ili kuleta umoja na uthabiti wa taifa lolote linalotaka kujenga utaifa wake, katiba yetu ni moja kati ya katiba mbovu sana, hata mwl nyerere aliwahi kusema kwa katiba hii ningeweza kuwa hata dictator! Katiba hii haimzuii Rais aliyeko madarakani kumteua hata mkewe kuwa waziri, haimzuii kuteua hata mawaziri wote kutoka kabila lake au dhehebu lake kadri apendavyo yeye! Ndio maana watu wenye kuona mbali wali-lilia sana "mabadiliko ya katiba"(katiba mpya), walijua anaweza kuja kutokea kiongozi waki-imla(dictactor) akafanya mambo ya ovyo kama haya ya kujaza watu wa kabila lake au kanda yake wizarani, idarani na kwenye sectors mbalimbali.

Mambo yaleyale aliyoyakataa nyerere tunaona huyu "dictator" anayafanya tena kwa nguvu kubwa sana, kujaza watu wakabila lake wizarani na idarani, kupendelea kwao na kanda yake kwa kutumia kodi za watanzania wote.
Ingekuwa maraisi wote waliopita wamejaza makabila yao wizarani Leo Tanzania tungekuwa wapi?! Ingelikuwa mwinyi, mkapa na kikwete wangependelea kwao kwakutumia kodi za watanzania wote Leo nchi ingejengwa matabaka yapi ya kikabila na kikanda?!



Alafu mtu huyu mnataka eti kumfananisha na Nyerere kweli?! Nyerere alikuwa mkabila hivi?! Nyerere alikuwa mkanda hivi?! Nyerere alikuwa na upendeleo wa kijiji chake?!

Tena eti bila hata haya wala aibu mnataka aongezewe miaka ?! Ili iweje?! Aigeuze Tanzania kama Kenya kwa ukabila wakikuyu na waluo ?! Au Rwanda kwa wahutu na watutsi?! Hebu amalize miaka yake minne iliyobaki asepe zake! Achape lapa! Asije kututumbukiza kwenye migawanyiko ambayo italibomoa kabisa taifa letu! Mwenyezi mungu apishilie mbali.
 
Unanizidi nini wewe paka shoe shine wa kwa Sadala. Pumbavu kabisa.
Ahahaaa naona imekuingia sana wee bwabwa,

Nyie machokoraa wakule makoroboi huwa mnamatatizo ya akili hivyo sikushangai sana dogo,

Mnasumbuliwa sana na inferior complex syndrome! Mafanikio ya wachagga yana waumiza sana mioyo! Mnahisi kama mnataka kupasuka ahahahaaaa! Sasa sijui niwasaidiaje wajameniii zaidi ya kuwapa pole tu!

Aliyefanikiwa kafanikiwa tu bhagosha/mayooo hakuna namna jitahidini tu mfikie hata robo ya mafanikio yao! Lakini sio kujenga chuki na wivu dhidi yao! Maana chuki umuumiza yule aliyeibeba kifuani!
 
Sio fundi saa kweli huyo?
Njooni niwalishe wote mkeo na mama yako pia maana nasikia huko kwenu usukumani kuna njaa sana na umaskini wa kutisha, kiasi kwamba ukioa huko mke ukamchukua akaja kukaa kwako huku mjini (Dar,Arusha,Moshi n.k) anahamia mazima na mamayake pamoja dada zake wote!

Kuna binam yangu anafanyakazi bandari Dar, kaoa mke huko kwenu bariadi, sasa nduguze mkewe wamehamia ukoo mzima pale kwake, sasa hivi anatafuna wote mke, mamamkwe na Dada zake wawili, mkewe akienda Zanzibar kupeleka biashara aliyompa mtaji, huku nyuma mama mkwe anageuka mke dogo, anasema hana tabu kabisa maana akimpa bia tu tayari, na amesha tafuna mpaka Dada za mkewe kwa kuwaahidi kuwatafutia kazi hotelini,

Nyie watu sijui mkoje hamna hata maadili alafu wepesi sana Kama Karatasi ya chooni (tissue papers). Au ndo kusema mnahuruma sana au mnaendekeza dhiki na njaa?! Mnakubalije kuliwa familia nzima na mtu mmoja huku mkijua wajameni?!
 
Kwani mzee kuna sehemu wachaga wamenyimwa kuishi mbona hueleweki?si taratibu za ardhi zinajulikana tu kwa mtanzania yyte anaweza kwenda popote au wanataka wapewe eneo waishi wao tu kama kabila lao?mbona wamejaa kimara kwani walipapataje?hao watu wote waliopo dar walihamiaje?

Utaelewa tu hata ukiwa kilaza!

Unajifanya unakichwa kigumu kama paka, eti kwani wamenyimwa, kwani wakiomba wamevunja sheria?! Fungua ubongo wako basi uelewe hata kidogo! Walipoomba na kupewa kule Rukwa ,Tanga na Morogoro walijitenga kikabila?!

Kenge huwa hasikii mpaka atoke damu masikioni, so hata ukijifanya uelewi tutazibua ubongo wako mpaka utoke damu na kuelewa tu Hanna namna! Au nasema uongo ndugu yangu?!
Wewe hakuna ndugu zako waliohamia mikoa mingine??whats so special about them?kuna mahali watanzania hawaruhusiwi kubamia?

Upuuzi mtupu, unaelewa maana ya jamii kubwa kuitaji ardhi kubwa ya kuendesha shughuli za kilimo?! Unaweza kuhamia kimara , mbezi, buhongwa, nyengezi, katoro, ilemela, nyamagana kama jamii kubwa kwenda kupata mashamba makubwa ya kilimo?!

Commonsense is not common for everyone!
Halafu sielewi logic yako kusema watu hawajui historia eti mwaka flani walihamishwa so what??lazima tuige huo mwaka??

Wewe ni mburula, historia tells us a lot, lazima tu-recall historia kwenye mambo mbalimbali hata sheria mahakamani huwa advocates wanakumbusha historia za kesi mbalimbali kama hizo ili kupata hukumu ya haki.

Kama jambo hilo lilifanyika na sio kosa kisheria kwanini Leo iwe kosa?! Ngoja nikutoe ujinga usije ikageuka kuwa upumbavu baadae, hakuna kifungu chochote cha sheria kinachokataza wananchi au raia as group kuomba ardhi popote pale nchini, hivyo alichofanya kimei sio kosa kisheri, nyie mnaopayuka payuka mjitafakari.
sheria ya ardhi iko wazi mtanzania anaenda popote asivunje sheria tu sasa hio attention wanayoitaka wao inasababishwa na nini??mbona wakazi wa dar hawaombi maeneo wanaenda tu mikoani wananunua na sehem zingine wanafyeka tu??

Nimeshajibu kwenye paragraph ya kwanza, hakuna MTU yeyote anayetaka attention ni nyie ndio mnaleta chuki na wivu wenu wakipuuzi kwasababu ya matatizo yenu ya inferior complex huwa kila Mara wachagga wakiamka na kutafuta fursa Fulani lazima mkurupuke na kuanza kuropoka ovyo kwa kulemewa na wivu na chuki zenu, kwani wakiomba ardhi wachagga jambo ambalo sio kinyume cha sheria nyie mnaumia nini?! Hebu. Jitafakarini kwahilo?! Kama sio wivu na chuki na inferior complex syndrome?!
Halafu unaulizia kuhusu wageni kupewa ardhi hivi hata unachokiandika unakisoma kabla ya kupost??wageni wanapewa kwa kua sheria haiwalindi kama watanzania hawana ruhusa ya kumiliki ardhi so kupewa kwao ni kwa mkataba wa kuiendeleza tu na haitokua iwe yao na wale waburundi ni kwa kua wakimbizi walipewa uraia la sivyo wasingeweza kumiliki ardhi kama mtanzania so kwa kua wapo kwenye VITA kwao na wamekaa aana bongo huoni kama ni upuuzi kulinganisha na mchaga ambae tyar anaweza kumiliki ardhi popotebila shida??
Sijui umeishia standard gani let say labda ulitoroka shule darasa la nne B,

Unajua sheria ya ardhi wewe?! Mwekezaji mgeni anapewa ardhi miaka 99, zaidi ya hekari elfu Moja, alafu hakuna anayepiga kelele! Watanzania wenzako wakiomba ardhi mnapayuka payuka kuwa hawastahili kupata ni akili hiyo?! Waburundi kupewa ardhi bado hujasema lolote la maana hoja ilikuwa kikundi Fulani cha kikabila kikipewa ardhi kitabadili eneo husika kuwa lakikabila, nikamjibu Huyo mjinga mwenzako kuwa wale waburundi waliopewa ardhi walibadili eneo lile kuwa la kikabila?! Wale wasomali waliopewa ardhi tanga walibadili eneo lile kuwa lakikabila?! Wale wachagga waliopewa ardhi miaka ya 70's walibadili maeneo Yale kuwa yakikabila?! Naona akili yako ni nzito sana kuelewa hoja, lakini najua kuwa "KUELEWA NI SANAA NA SIO KILA MTU NI MSANII AWEZE KUELEWE!"

Hapa upumbavu wenu uko sehemu moja tu, kwamba mjiulize swali hili, "KWANI WACHAGGA WAKIOMBA ARDHI MAENEO MENGINE NCHINI WAMEVUNJA SHERIA!" hapo ndio upumbavu wenu ulikolalia na kuwafanya wote muonekane hamna akili zaidi ya wivu na chuki, Dr.Kimei aliposema kuwa eneo la wanavunjo limekuwa dogo kijiografia kuendesha shughuli zao za kilimo na hawawezi kumegewa eneo la hifadhi ya msitu la KINAPA kupewa mashamba, akaiomba serikali iwapatie ardhi maeneo mengine nchini, kwanza mngejiuliza je, kimei kavunja sheria kuwaombea wanavunjo ardhi?! Kama hajavunja sheria yoyote nyie mnaumizwa na nini basi kama sio ukabila wenu na wivu?! Mbona makabila yote yako kimya wengi mnaolilia hapa ni wasukuma?! Kuna shida gani kwenu?! Jitafakarini mlivyo wapumbavu!

unajua wakati mwingine sio lazima kupost kitu kama kimekuzidi akili, maana hata mpumbavu akikaa kimya uonekana mwenye akili kuliko kuanika ujinga wako wote hapa watu wakaona the way dishi lilivyoyumba!
 
Utaelewa tu hata ukiwa kilaza!

Unajifanya unakichwa kigumu kama paka, eti kwani wamenyimwa, kwani wakiomba wamevunja sheria?! Fungua ubongo wako basi uelewe hata kidogo! Walipoomba na kupewa kule Rukwa ,Tanga na Morogoro walijitenga kikabila?!

Kenge huwa hasikii mpaka atoke damu masikioni, so hata ukijifanya uelewi tutazibua ubongo wako mpaka utoke damu na kuelewa tu Hanna namna! Au nasema uongo ndugu yangu?!


Upuuzi mtupu, unaelewa maana ya jamii kubwa kuitaji ardhi kubwa ya kuendesha shughuli za kilimo?! Unaweza kuhamia kimara , mbezi, buhongwa, nyengezi, katoro, ilemela, nyamagana kama jamii kubwa kwenda kupata mashamba makubwa ya kilimo?!

Commonsense is not common for everyone!


Wewe ni mburula, historia tells us a lot, lazima tu-recall historia kwenye mambo mbalimbali hata sheria mahakamani huwa advocates wanakumbusha historia za kesi mbalimbali kama hizo ili kupata hukumu ya haki.

Kama jambo hilo lilifanyika na sio kosa kisheria kwanini Leo iwe kosa?! Ngoja nikutoe ujinga usije ikageuka kuwa upumbavu baadae, hakuna kifungu chochote cha sheria kinachokataza wananchi au raia as group kuomba ardhi popote pale nchini, hivyo alichofanya kimei sio kosa kisheri, nyie mnaopayuka payuka mjitafakari.


Nimeshajibu kwenye paragraph ya kwanza, hakuna MTU yeyote anayetaka attention ni nyie ndio mnaleta chuki na wivu wenu wakipuuzi kwasababu ya matatizo yenu ya inferior complex huwa kila Mara wachagga wakiamka na kutafuta fursa Fulani lazima mkurupuke na kuanza kuropoka ovyo kwa kulemewa na wivu na chuki zenu, kwani wakiomba ardhi wachagga jambo ambalo sio kinyume cha sheria nyie mnaumia nini?! Hebu. Jitafakarini kwahilo?! Kama sio wivu na chuki na inferior complex syndrome?!

Sijui umeishia standard gani let say labda ulitoroka shule darasa la nne B,

Unajua sheria ya ardhi wewe?! Mwekezaji mgeni anapewa ardhi miaka 99, zaidi ya hekari elfu Moja, alafu hakuna anayepiga kelele! Watanzania wenzako wakiomba ardhi mnapayuka payuka kuwa hawastahili kupata ni akili hiyo?! Waburundi kupewa ardhi bado hujasema lolote la maana hoja ilikuwa kikundi Fulani cha kikabila kikipewa ardhi kitabadili eneo husika kuwa lakikabila, nikamjibu Huyo mjinga mwenzako kuwa wale waburundi waliopewa ardhi walibadili eneo lile kuwa la kikabila?! Wale wasomali waliopewa ardhi tanga walibadili eneo lile kuwa lakikabila?! Wale wachagga waliopewa ardhi miaka ya 70's walibadili maeneo Yale kuwa yakikabila?! Naona akili yako ni nzito sana kuelewa hoja, lakini najua kuwa "KUELEWA NI SANAA NA SIO KILA MTU NI MSANII AWEZE KUELEWE!"

Hapa upumbavu wenu uko sehemu moja tu, kwamba mjiulize swali hili, "KWANI WACHAGGA WAKIOMBA ARDHI MAENEO MENGINE NCHINI WAMEVUNJA SHERIA!" hapo ndio upumbavu wenu ulikolalia na kuwafanya wote muonekane hamna akili zaidi ya wivu na chuki, Dr.Kimei aliposema kuwa eneo la wanavunjo limekuwa dogo kijiografia kuendesha shughuli zao za kilimo na hawawezi kumegewa eneo la hifadhi ya msitu la KINAPA kupewa mashamba, akaiomba serikali iwapatie ardhi maeneo mengine nchini, kwanza mngejiuliza je, kimei kavunja sheria kuwaombea wanavunjo ardhi?! Kama hajavunja sheria yoyote nyie mnaumizwa na nini basi kama sio ukabila wenu na wivu?! Mbona makabila yote yako kimya wengi mnaolilia hapa ni wasukuma?! Kuna shida gani kwenu?! Jitafakarini mlivyo wapumbavu!

unajua wakati mwingine sio lazima kupost kitu kama kimekuzidi akili, maana hata mpumbavu akikaa kimya uonekana mwenye akili kuliko kuanika ujinga wako wote hapa watu wakaona the way dishi lilivyoyumba!
mkuu. Umemaliza. umepiga penyewe haswa. Hapa ndio watajua kuwa hawajui.
 
Hawajavunja sheria kama mamlaka husika ziliridhia. Sio rahisi sana kwa mtu mathalani yuko kilimanjaro akaelewa maeneo yalyo wazi kama vile huko mpanda. Pia ukumbuke ni watu wengi wenye shida ya ardhi na kuhitaji nguvu zaidi ya serikali kupata eneo la kutosha.
Jibu sahihi wanajifanya hawaelewi
 
Hujaelewa mantiki wewe,Kwan Kuna sehemu yoyote tz ambayo haina mchaga? Wachaga Ni WAHINDI wa kitanzania wame.invest ma miradi makubwa maeneo mengi tu tz
Hakuna mantiki hapo zaidi ya kutaka vya bure.

Kwani kabila gani kwa sasa nchi hii halipo sehemu fulani ya nchi?

Wahindi kuwafananisha na wachaga ni uhayawani.

Wachaga wamezaa kwa kazi za kiboya tu,hao wenye miradi mikubwa 1/1M.
 
Back
Top Bottom