Arabela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 3,127
- 2,227
Ila na wewe unajitakia matatizo mwenyewe....nilikuambia achana na wafungwa njoo kwangu ntakusaidia hata ikibidi kuongea na Paw kumpa msamaha mumeo sasa wewe unaleta poz oooh shauri yako
ntakuwa msaliti kumuacha kwenye shida. Bado namzimia
Last edited by a moderator: