Arabela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 3,127
- 2,227
Hebu Eversmilin Gal mpeleke Arabela kule kwenye jukwaa letu labda atapunguza stress
asante Erickb 52 kwa kunionea huruma.yani sili sinywi kwa mawazo
Last edited by a moderator:
Hebu Eversmilin Gal mpeleke Arabela kule kwenye jukwaa letu labda atapunguza stress
Ila na wewe unajitakia matatizo mwenyewe....nilikuambia achana na wafungwa njoo kwangu ntakusaidia hata ikibidi kuongea na Paw kumpa msamaha mumeo sasa wewe unaleta poz oooh shauri yakoasante Erickb 52 kwa kunionea huruma.yani sili sinywi kwa mawazo
Ushatoka mwanza mkuu?Ila na wewe unajitakia matatizo mwenyewe....nilikuambia achana na wafungwa njoo kwangu ntakusaidia hata ikibidi kuongea na Paw kumpa msamaha mumeo sasa wewe unaleta poz oooh shauri yako
Ha ha ha ha ha!mandieta bado nipo jijini....!
Heheheeeee mtu mzima mie lolHa ha ha ha ha!
Ebu tupia basi japo li picha la sangara na ugali wa udaga bana.Ila angalia totoz za mwanza mkuu,maana ukiangukia mikononi mwao tutakusahau mkuu maana mzalamo hapo hatii mguu lol.
Mtu mzima kwani wewe "mjaluo" bana?Heheheeeee mtu mzima mie lol
Nimekula samaki hadi nahisi kulala tu ngoja nkashushie na kandofu kamoja kule Vila Park