Kitine: Kuna waziri ameiba fedha za nchi huko nje ametia mfukoni mwake kutafutia urais

Nimeona Kitine amemfagilia sana Gideon Cheyo, John Chiligati na Anna Tbaijuka kuwa ni viongozi wasafi. Mzee naona hana cha ku loose. Yaani kamchana Membe ki aina, yaani JK amesahau kutoa kasa lingine kwenye system.

Wazee wamesisitiza kuwa vetting ni muhimu sana katika uteuzi wa nafasi kama hizo za kisiasa na utendaji serikalini hasa kwa kuzingatia rekodi ya mtu katika uadilifu.

Wameoneshwa kutatizwa sana na namna ambavyo viongozi wa sasa wanafanya kazi katika mazingira ambayo wana confilct of interest za wazi sana katika kila wanachofanya. Kibaya zaidi ni pale wanaposhindwa kumudu kuepuka mgongano huo wa maslahi binafsi, hivyo wanaweka mbele maslahi yao na kuacha ya watu wanaotakiwa kuwatumikia. Uongozi/utumishi wa umma imekuwa ni nafasi ya watu kuchuma na kujitajirisha wao, huku wananchi wakiangamia.
 
Mkuu sijui kama unajua unacho-argue. Nani kasema kuwa zimewekwa kwenye akaunti binafsi? Nway kwa maelezo ya Mzee Kitine anasema kuwa fedha zilizotolewa huko Comoro zilitokana na Tanzania kumsaidia 'yule jamaa mganga wetu' (hii ni yangu) kupambana na wale waasi waliopindua serikali.

Zile za Morocco zinatokana na masuala ya kuwatambua Polisario. Anasema aliwaambia jamaa huko kuwa suala hili lina mchakato hivyo kuna fedha zinahitajika. Wakampatia. Juu ya Libya aliisema kwa mbali lakini hakusema ilikuwaje hasa...

Kwani lini Mzee Kitine amekosa moral authority ya kuikosoa serikali hii na viongozi wake? Kwa wengi wetu bado anayo. Kwa wenye kumbukumbu wanajua kuwa alikuwa mtu wa kwanza kumtaja Jairo hadharani. Katika namna hii hii alivyofanya leo. Tuliokuwa tunaangalia kipindi siku hiyo tulijiongezea tukajua mzee anamaanisha nani. Leo yako wapi wakubwa.

Dah, huwa naogoap sana kutoka nje ya mada kuu hata kama hilo ni jambo la kawaida hapa JF! Hata hivyo, nazani busara kuweka kumbukumbu sawa! Kwamba, Membe alipewa Pesa na Morocco kwa ajili ya kuitambua POLISARIO!! But for what i know, POLISARIO wanapigana kujiondoa kwenye utawala wa Morocco! So, how come tena mtu umlipe kwa kumtambua adui yako?! By the way, na ukweli ndio huo....tangu enzi za Nyerere, Tanzania ilikuwa inaitambua POLISARIO.....hapa sasa ndipo ninapopata mashaka!!!
 
Sawa kabisa, anamsema Membe ndo alimchomoa uwaziri. Kitine naye Fisadi kama mwagwanda wenzake
Angalieni...naona mnaanza kumwekea maneno Mzee Kitine. Hajataja jina la mtu. Alichofanya ni kutoa tip.

Wengine tunaweza kuanzia kutokea hapo alipoishia kujua hasa ni kitu gani.
 
Dah, huwa naogoap sana kutoka nje ya mada kuu hata kama hilo ni jambo la kawaida hapa JF! Hata hivyo, nazani busara kuweka kumbukumbu sawa! Kwamba, Membe alipewa Pesa na Morocco kwa ajili ya kuitambua POLISARIO!! But for what i know, POLISARIO wanapigana kujiondoa kwenye utawala wa Morocco! So, how come tena mtu umlipe kwa kumtambua adui yako?! By the way, na ukweli ndio huo....tangu enzi za Nyerere, Tanzania ilikuwa inaitambua POLISARIO.....hapa sasa ndipo ninapopata mashaka!!!


Alichofanya ni kutoa tip. Wengine tunaweza kuanzia kutokea hapo alipoishia kujua hasa ni kitu gani.
 
Tuko sahihi tukisema kuwa Membe hana tofauti na Dr Kitine?

Yale ya Kitine tayari yalishathibitika kwamba ni kweli kwavile hata ushahidi ulitolewa! Hili la Membe, time will tell. Lakini kama asemayo Kitine ni sahihi basi ni sahihi vile vile ku-conclude kwamba Membe na Dr. Kitine hawana tofauti!!
 
Angalieni...naona mnaanza kumwekea maneno Mzee Kitine. Hajataja jina la mtu. Alichofanya ni kutoa tip. Wengine tunaweza kuanzia kutokea hapo alipoishia kujua hasa ni kitu gani.

Alichofanya ni kutoa tip. Wengine tunaweza kuanzia kutokea hapo alipoishia kujua hasa ni kitu gani.

Bibi yangu (RIP) Mzaa Mama alikuwa na msemo wake kwamba "Fumbo, mfumbie mjinga.....!" Aliupenda sana huu msemo!
 
Hujauma maneno.

Picha za Hotel hiyo zitakuwa hapa JF soon!

Thank you for the Alert....itabidi tufanye screening ya wale walinzi na wajenzi waliopo pale!!! u've to wait even longer for any pic 2b available here!!!
 
Dah, huwa naogoap sana kutoka nje ya mada kuu hata kama hilo ni jambo la kawaida hapa JF! Hata hivyo, nazani busara kuweka kumbukumbu sawa! Kwamba, Membe alipewa Pesa na Morocco kwa ajili ya kuitambua POLISARIO!! But for what i know, POLISARIO wanapigana kujiondoa kwenye utawala wa Morocco! So, how come tena mtu umlipe kwa kumtambua adui yako?! By the way, na ukweli ndio huo....tangu enzi za Nyerere, Tanzania ilikuwa inaitambua POLISARIO.....hapa sasa ndipo ninapopata mashaka!!!
Ziara ya Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje Ulinzi na Usalama nchini Moroco inaanza kuonyesha matunda yake, Big Up Mzee Mvi... Soon tutaambiwa Nyerere si MALAIKA alikosea na wenzake kina Mandela kuitambua Polisario na soon Kamati ya Mvi itaishinikiza Serikali na waziri wa Nje kukubaliana na Moroco kuichukua Polisario, na serikali kwa kuwa sasa imekua haina meno imeelemewa itanywea na mambo yatakua bwerereee!! Na lile dau walilovuna siku mbili zilizopita litakuwa limefanya kazi..

Najua watu hawataelewa lakini soon watapata Picha... Hiki ni kizunguzungu na jana ndio wakubwa walitua Dar na leo mambo yanaanza!!
 
Uthibitisho wa picha litakuwa jambo muhimu sana ikiwezekana na vibali/vyeti vya umiliki kama vitapatikana kwa usahihi zaidi.
 
Frankly speeking huyu anaetajwa ni Benard Membe. Hotel anayojenga ipo Mtwara pembezoni mwa Bahari. Niliiona mwezi uliopita nilipokuwa Mtwara.

TUMBIRI wa JF

Uko sahihi mkuu kwa wanaoijua mtwara hiyo hotel ipo karibu na veta.
 
Wote wezi hakuna wakulaumiwa wote siwasafi kwani naye Kitine alikwapua hera ya umma kwa udanganyifu hivyo naye simsafi,membe naye vilevile!!

Mmoja aliwajibika (polital responsibility) lakini mwingine anaendelea kula bata! Kwa nini?
 
Ziara ya Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje Ulinzi na Usalama nchini Moroco inaanza kuonyesha matunda yake, Big Up Mzee Mvi... Soon tutaambiwa Nyerere si MALAIKA alikosea na wenzake kina Mandela kuitambua Polisario na soon Kamati ya Mvi itaishinikiza Serikali na waziri wa Nje kukubaliana na Moroco kuichukua Polisario, na serikali kwa kuwa sasa imekua haina meno imeelemewa itanywea na mambo yatakua bwerereee!! Na lile dau walilovuna siku mbili zilizopita litakuwa limefanya kazi.. Najua watu hawataelewa lakini soon watapata Poicha... Hiki ni kizunguzungu na jana ndio wakubwa walitua Dar na leo mambo yanaanza!!

Nakupata kabisa kiongozi, na naona another mini-reshuffle muda si mrefu! Halafu baada ya hapo 'civil war' itaingia gia nyingine kabisa. poor ccm!
 
Kitine bado ana hang over ya kuondolewa kwenye uwaziri na Membe....ni vyema angemtaja kabisa na atoe data ili nae atolewe...vinginevyo ni hang over inamsumbua tu....
Tangu lini bata akajisaidia kinyesi kama cha kuku.....
 
Frankly speeking huyu anaetajwa ni Benard Membe. Hotel anayojenga ipo Mtwara pembezoni mwa Bahari. Niliiona mwezi uliopita nilipokuwa Mtwara.

TUMBIRI wa JF

Ndio ni Membe, basi iyo ya Mtwara itakua ya pili. Lindi mjini kuna Hotel haina zaidi ya miaka 2 tangu iishe kujengwa inaitwa Lindi Oceanic View inasemekana ni ya kwake pia.

Pili hii pesa ya Comoro si ndio ile ambayo mnadhimu mkuu wa JWTZ Maj.Gen.Shimbo nae aliambiwa ameila. Inawezekana wali gawana wengi? Invisible kuna information aliitia kapuni kipindi news ya Shimbo ikijivinjali hapa JF-kwa hili anaweza kutusaidia zaidi.
 
Uthibitisho wa picha litakuwa jambo muhimu sana ikiwezekana na vibali/vyeti vya umiliki kama vitapatikana kwa usahihi zaidi. Wadau nawasilisha.

Huyu Hassy Kitine alivyotuhumiwa kutapeli dola elfu 60 za kimarekani kwa matibabu hewa ya mke wake enzi zile za 2004-2005, jee anafikiri watu tumeshasahau hadi kujifanya kiranja wa kukemea ufisadi wa CCM kwa vile labda waliokuja baada yake wamemzidi kwa ujanja na kiasi cha pesa walichofaidika kupitia utapeli na ufisadi wa Serikali ya CCM? Jee, zile dola elfu 60 alizolipwa kwa minaajili ya mkewe kutibiwa "maumivu ya kichwa" kwenye clinic feki Marekani, alizirudisha Hazina?
 
Ndio ni Membe, basi iyo ya Mtwara itakua ya pili. Lindi mjini kuna Hotel haina zaidi ya miaka 2 tangu iishe kujengwa inaitwa Lindi Oceanic View inasemekana ni ya kwake pia.
.

Sjui naye atakuwa amechukuwa mkopo CRDB?
 
Back
Top Bottom