johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,145
Rais mstaafu Mzee Kikwete amesema Chama kisiwavumilie wazushi na waongo wanaokigawa chama.
Kikwete amesema kuelekea 2025 uzushi na Uwongo utakuwa mwingi lakini hakuna wa kumshinda Rais Samia iwe ndani ya CCM au Upinzani.
Kikwete amesema hata ile taarifa ya Waziri kwenda kutafuta Fedha nje ili agombee Urais wa JMT ni za Uwongo na aliyesema akome na ikiwezekana aitwe na chama kuhojiwa.
Kikwete amesema mzushi huyo anafanya na yule Mwanahabari Huru aliyekivuruga sana Chama kwa uzushi.
Chanzo: TBC
Kikwete amesema kuelekea 2025 uzushi na Uwongo utakuwa mwingi lakini hakuna wa kumshinda Rais Samia iwe ndani ya CCM au Upinzani.
Kikwete amesema hata ile taarifa ya Waziri kwenda kutafuta Fedha nje ili agombee Urais wa JMT ni za Uwongo na aliyesema akome na ikiwezekana aitwe na chama kuhojiwa.
Kikwete amesema mzushi huyo anafanya na yule Mwanahabari Huru aliyekivuruga sana Chama kwa uzushi.
Chanzo: TBC