Kitilya wa TRA kupelekwa TANESCO ?

Duh! Makampuni mangapi yanayoendeshwa na Wazungu ambayo yamekuwa na scandals mbali mbali katika uendeshaji? Wazungu hawawezi kuwa watatuzi wa matatizo ya nchi yetu hata siku moja. Kule Rwanda hakuna Wazungu pamoja na wahutu na Watusi kuuana kwa idadi kubwa mwaka 1994 sasa hivi nchi yao inafanya vizuri sana katika sekta nyingi tu pamoja na kuwa hawana Wazungu. Kagame alikataa kabisa kuajiri Wazungu katika nafasi nyeti ndani ya Serikali yake.

Siye kila aliye ndani ya TANESCO na ana nafasi ya juu utendaji wake ni mbovu wengi tu ni wachapa kazi wazuri sana ila wanaangushwa na Serikali DHAIFU ambayo imeamua kuitumia TANESCO kama mradi wao wa kutajirika

Kama Rwanda wameweza kuinyanyua nchi yao katika sekta mbali mbali kwa kuwatumia wazawa, basi na Tanzania inaweza kabisa kufanya hivyo.



kama makaburu waliletwa na Mkapa
wasingeshindwa kukataa 'oder' ya Mkapa

alikataaa siasa, CEO wa kwanza kabisa wakamuondoa...

bottomline hao rafiki zako ndio hao hao kina Mhando in waiting.....

Wazungu ndo solution ya kampuni za ummah za TZ..

hawapendi kuchafuliwa.hawaogopi kuanika kitu
na hawaogopi kufukuzwa...na hawawezi kuonewa sababu wanalindwa na sheria hadi za kimataifa...

tutafute CEO wa kizungu from U S A...utaniambia....[/
QUOTE]
 
Duh! Makampuni mangapi yanayoendeshwa na Wazungu ambayo yamekuwa na scandals mbali mbali katika uendeshaji? Wazungu si matatizo ya nchi yetu hata siku moja. Kule Rwanda hakuna Wazungu pamoja na wahutu na Watusi kuuana kwa idadi kubwa mwaka 1994 sasa hivi nchi yao inafanya vizuri sana katika sekta nyingi tu pamoja na kuwa hawana Wazungu. Kagame alikataa kabisa kuajiri Wazungu katika nafasi nyeti ndani ya Serikali yake.

Siye kila aliye ndani ya TANESCO na ana nafasi ya juu utendaji wake ni mbovu wengi tu ni wachapa kazi wazuri sana ila wanaangushwa na Serikali DHAIFU ambayo imeamua kuitumia TANESCO kama mradi wao wa kutajirika

Kama Rwanda wameweza kuinyanyua nchi yao katika sekta mbali mbali kwa kuwatumia wazawa, basi na Tanzania inaweza kabisa kufanya hivyo.



kama makaburu waliletwa na Mkapa
wasingeshindwa kukataa 'oder' ya Mkapa

alikataaa siasa, CEO wa kwanza kabisa wakamuondoa...

bottomline hao rafiki zako ndio hao hao kina Mhando in waiting.....

Wazungu ndo solution ya kampuni za ummah za TZ..

hawapendi kuchafuliwa.hawaogopi kuanika kitu
na hawaogopi kufukuzwa...na hawawezi kuonewa sababu wanalindwa na sheria hadi za kimataifa...

tutafute CEO wa kizungu from U S A...utaniambia....[/
QUOTE]


kupata scandal kwa kampuni siyo sawa na kushindwa ongoza kampuni
hapa TZ makampuni yanayo perfom better yanaendeshwa na wageni
mostly wazungu...
1.TBL
2.VODACOM
3.TIGO
4.AIRTELL
5.STANBINC
6.CITYBANK
7.NMB
8. na mengineyo meengi

nitajie wewe kampuni inayo chechmea bongo huku inaendeshwa na Wazungu....

tukubali tu kuwa 'the culture of efficiency' hatuna bado.....
tukubali kushindwa na ku 'import hiyo culture'
 
Duh! Idrissa naye alikuwa better CEO!!!! Lipi alilifanya alipokuwa TANESCO ambalo linastahili kupongezwa kama "better CEO"? Si alifanya madudu tu kisha akaandika barua ya kutaka kujiuzulu na DHAIFU akamkatalia na hatimaye akaondolewa kishkaji. Utakuwa CEO mzuri unachapa kazi zako kisawasawa halafu uandike barua ya kujiuzulu!?


kuendesha Tanesco sio lazima ujue taaluma ya umeme
MENEJIMENTI peke yake ni TAALUMA..
ndio maana Idrisa Rashid alikuwa better CEO kuliko Engineer Mhando

na ndo maana ma CEO mfano wa TBL hawajui 'taaluma ya kutengeneza beer'
lakini wanaweza..
 
Duh! Makampuni mangapi yanayoendeshwa na Wazungu ambayo yamekuwa na scandals mbali mbali katika uendeshaji? Wazungu hawawezi kuwa watatuzi wa matatizo ya nchi yetu hata siku moja. Kule Rwanda hakuna Wazungu pamoja na wahutu na Watusi kuuana kwa idadi kubwa mwaka 1994 sasa hivi nchi yao inafanya vizuri sana katika sekta nyingi tu pamoja na kuwa hawana Wazungu. Kagame alikataa kabisa kuajiri Wazungu katika nafasi nyeti ndani ya Serikali yake.

Siye kila aliye ndani ya TANESCO na ana nafasi ya juu utendaji wake ni mbovu wengi tu ni wachapa kazi wazuri sana ila wanaangushwa na Serikali DHAIFU ambayo imeamua kuitumia TANESCO kama mradi wao wa kutajirika

Kama Rwanda wameweza kuinyanyua nchi yao katika sekta mbali mbali kwa kuwatumia wazawa, basi na Tanzania inaweza kabisa kufany.[/[/B]QUOTE]


Hivi rwanda wamefanya nini ambacho hakikuwepo kabla ya vita? Kagame anajenga alichobomoa 1994! Tutumie akili zetu, tuwe serious kwanza kupata viongozi bora
 
***********************
H@ki Ngowi

Kauli ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme nchini (Tanesco), Idrisa Rashid, kuwa shirika hilo lisilaumiwe nchi ikiingia gizani, imezidi kuwasha moto kwenye sakata la ununuzi wa mitambo ya kufua umeme ya kampuni ya Dowans.

Kauli hiyo imewashtua wananchi wengi, huku Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini ikiieleza kuwa siyo ya kawaida na kwamba itaijadili na kisha kuishauri serikali nini cha kufanya. Juzi Mkurugenzi Mkuu huyo wa Tanesco wakati akitangaza uamuzi wa shirika lake kuachana na mpango wa kununua mitambo ya Dowans katikati ya shinikizo kubwa la wadau mbalimbali, alikaririwa akisema shirika lake lisibebeshwe lawama kwa yatakayotokea. ``Wananchi wa Tanzania watafanya maamuzi yao hapo ambapo nchi itakuwa imegubikwa na kiza, mahospitali hayatoi huduma, viwanda havizalishi na wanafunzi vyuoni wanashindwa kusoma kwa sababu tulishindwa kufanya maamuzi`` alikaririwa akisema Dk. Rashid wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Tangu kutolewa kwa kauli hiyo, hofu imezuka miongoni mwa wananchi na wadau mbalimbali kuwa huenda tatizo la uhaba wa umeme nchini sasa lisishughulikiwe haraka katika kile kinachoonekana kutaka kukomoana kati ya pande mbili zinazovutana katika suala hilo, ule unaotaka mitambo ya Dowans inunuliwe na ule usiotaka mitambo hiyo inununuliwe, ili kuonyeshana nani alikuwa sahihi.
Wananchi wengi wanahofu kuwa kauli ya Dk. Rashid inaonyesha kwamba Tanesco ambayo inajukumu la kuhakikisha nishati ya umeme inapatikana kwa uhakika nchini, sasa inajiweka pembeni baada ya mpango wake wa kutaka kununua mitambo ya Dowans kupingwa na wadau mbalimbali. Hofu hiyo inatokana na kwamba baada ya Tanesco kusalimu amri kutonunua mitambo hiyo huku shirika hilo likijiweka pembeni katika suala hilo, sasa haijulikani ni lini na njia gani mbadala itakayotumika kuondoa tishio la uwezekano wa nchi kuwa gizani kutokana na uhaba wa umeme unaoelezwa unaweza kutokea siku chache zijazo.
Baadhi ya wananchi waliozungumza na gazeti hili kwa nyakati tofauti, wameonyesha wazi hofu yao kama ipo dhamira ya dhati katika kushughulikia tatizo la umeme na badala yake wanasema suala zima wanaliona kama linaendeshwa zaidi kwa maslahi ya kibiashara na kisiasa. Wananchi hao wamesema kuwa wamechoshwa na malumbano hayo na sasa wanataka kuona inafanywa mikakati ya uhakika kushughulikia tatizo la umeme nchini kabla mambo hayajaharibika na kuanza kutupiana lawama.
 
Duh! Idrissa naye alikuwa better CEO!!!! Lipi alilifanya alipokuwa TANESCO ambalo linastahili kupongezwa kama "better CEO"? Si alifanya madudu tu kisha akaandika barua ya kutaka kujiuzulu na DHAIFU akamkatalia na hatimaye akaondolewa kishkaji. Utakuwa CEO mzuri unachapa kazi zako kisawasawa halafu uandike barua ya kujiuzulu!?


BAK nimeamini unasikiliza Radio mbao mno
Idrisa alikuwa the best ceo tanesco uliza data upewe

kwa ufupi ni hivi
Tanesco chini yya Idrissa ilikuwa hivi

1.kupata umeme ni ndani ya siku 60 na mpaka anaondoka ilichukua wiki moja tu

2.vifaa kama nguzo na mita zilikuwa available mno

3.alianzisha kitengo cha call centre lengo ni kutoa customer care ya uhakika

4.teknolojia za kununua umeme kwa simu na njia nyinginezo

5.wafanyakazi walipewa motivation..bonus.semianars.saccos.mikopo na kadhalika..

6.alitishia kujiuzulu kwa kuzuiwa kuidai Tanga cement na wanasiasa na sivyo ulivyoelezwa wewe

7..na mengi mengineyo
 
***********************
H@ki Ngowi

Kauli ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme nchini (Tanesco), Idrisa Rashid, kuwa shirika hilo lisilaumiwe nchi ikiingia gizani, imezidi kuwasha moto kwenye sakata la ununuzi wa mitambo ya kufua umeme ya kampuni ya Dowans.

Kauli hiyo imewashtua wananchi wengi, huku Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini ikiieleza kuwa siyo ya kawaida na kwamba itaijadili na kisha kuishauri serikali nini cha kufanya. Juzi Mkurugenzi Mkuu huyo wa Tanesco wakati akitangaza uamuzi wa shirika lake kuachana na mpango wa kununua mitambo ya Dowans katikati ya shinikizo kubwa la wadau mbalimbali, alikaririwa akisema shirika lake lisibebeshwe lawama kwa yatakayotokea. ``Wananchi wa Tanzania watafanya maamuzi yao hapo ambapo nchi itakuwa imegubikwa na kiza, mahospitali hayatoi huduma, viwanda havizalishi na wanafunzi vyuoni wanashindwa kusoma kwa sababu tulishindwa kufanya maamuzi`` alikaririwa akisema Dk. Rashid wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Tangu kutolewa kwa kauli hiyo, hofu imezuka miongoni mwa wananchi na wadau mbalimbali kuwa huenda tatizo la uhaba wa umeme nchini sasa lisishughulikiwe haraka katika kile kinachoonekana kutaka kukomoana kati ya pande mbili zinazovutana katika suala hilo, ule unaotaka mitambo ya Dowans inunuliwe na ule usiotaka mitambo hiyo inununuliwe, ili kuonyeshana nani alikuwa sahihi.
Wananchi wengi wanahofu kuwa kauli ya Dk. Rashid inaonyesha kwamba Tanesco ambayo inajukumu la kuhakikisha nishati ya umeme inapatikana kwa uhakika nchini, sasa inajiweka pembeni baada ya mpango wake wa kutaka kununua mitambo ya Dowans kupingwa na wadau mbalimbali. Hofu hiyo inatokana na kwamba baada ya Tanesco kusalimu amri kutonunua mitambo hiyo huku shirika hilo likijiweka pembeni katika suala hilo, sasa haijulikani ni lini na njia gani mbadala itakayotumika kuondoa tishio la uwezekano wa nchi kuwa gizani kutokana na uhaba wa umeme unaoelezwa unaweza kutokea siku chache zijazo.
Baadhi ya wananchi waliozungumza na gazeti hili kwa nyakati tofauti, wameonyesha wazi hofu yao kama ipo dhamira ya dhati katika kushughulikia tatizo la umeme na badala yake wanasema suala zima wanaliona kama linaendeshwa zaidi kwa maslahi ya kibiashara na kisiasa. Wananchi hao wamesema kuwa wamechoshwa na malumbano hayo na sasa wanataka kuona inafanywa mikakati ya uhakika kushughulikia tatizo la umeme nchini kabla mambo hayajaharibika na kuanza kutupiana lawama.


kununua ilikuwa better kuliko kulipa capacity charges na kununua umeme
ingepunguza gharama za umeme na kuepusha mgao
Idrissa was right
 
Kwanini iwe ni lazima kutaja kampuni iliyoshindwa kuendeshwa na Wazungu iwe Bongo tu? Mbona Rwanda nchi yao imeshikwa na wazawa na wanafanya vizuri katika sekta nyingi? Kama Wanyarwanda wameweza kuendesha taasisi zao kwa ufanisi wa hali ya juu kwa nini Watanzania tushindwe? Yako makampuni mbali mbali yaliyokuwa yanaendesha na Wazungu katika nchi mbali mbali duniani yaliyoshindwa na kupotea katika Ulimwengu wa kibiashara.
 
Ukanunue mtambo mtumba ambao hujui chochote kuhusiana na uchakavu wa mtambo huo tena kwa pesa chungu nzima!!! ....Ndio maana hakustahili kuendelea kama mkurugenzi pale TANESCO.

kununua ilikuwa better kuliko kulipa capacity charges na kununua umeme
ingepunguza gharama za umeme na kuepusha mgao
Idrissa was right
 
kinachotakiwa tanesco ni serikali ifanye yafuatayo

kuondoa kodi ya mafuta inayofikia 80bn kama alivyosema mhando
kudhamini tanesco kukopa kwenye mabenk, syndicate loan ili kuwalipa wadai wao ili kuepusha mgao

hata akienda kikwete pale kuwa MD haitasaidia, hatuhitaji kuuza sura bali kufanya kazi, na kufanya kazi ni pesa inatakiwa siyo barua na siasa
Sasa akienda Kikwete dhaifu si ndio ataangamiza shirika. Kitilya ameshindwa vibaya sana TRA yake wanaishia kukadiria kodi kama waganga wapiga ramli leo hii umpeleke Tanesco akaendeleza mbinu za kizamani. Kitilya hataki ku-deploy mbinu za kisasa za kukusanya kodi kwa kuwa wana Ccm wenzie ndo wakwepa kodi namba moja. Dawa ni kugawa hili shirika vipande vitatu vinginevyo tutaishia kubadilisha viongozi kama ch*pi
 
Ukanunue mtambo mtumba ambao hujui chochote kuhusiana na uchakavu wa mtambo huo tena kwa pesa chungu nzima!!! ....Ndio maana hakustahili kuendelea kama mkurugenzi pale TANESCO.

BAK unakubali nini na unakataa nini?
kumzuia kununua mitambo ilikuwa ni 'kuingilia utendaji na kuleta siasa'
mitambo bei yake ilikuwa billioni 20
wakati mkataba wa kulipa umeme na capacity charges walikuwa wanalipa zaidi ya billioni 50
na sasa fidia ni zadi ya billioni 80....

sasa wewe unaongea nini?
 
Usichanganye madawa...Waliokataa ni bodi ya Wakurugenzi ya TANESCO, Nishati walikuwa wanamuunga mkono maana yule Ngeleja alijua kuna mgao wake toka kwa fisadi Rostam Aziz. Kumbuka pia hata kulipwa kwa $95 million kwa Dowans kuliridhiwa na Pinda, Ngeleja, Mwanasheria Mkuu, Na Serikali kwa ujumla tangu December 2010 lakini kutokana na kelele za Watanzania ndio hadi hii leo haijalipwa hata senti tano.

BAK unakubali nini na unakataa nini?
kumzuia kununua mitambo ilikuwa ni 'kuingilia utendaji na kuleta siasa'
mitambo bei yake ilikuwa billioni 20
wakati mkataba wa kulipa umeme na capacity charges walikuwa wanalipa zaidi ya billioni 50
na sasa fidia ni zadi ya billioni 80....

sasa wewe unaongea nini?
 
Usichanganye madawa...Waliokataa ni bodi ya Wakurugenzi ya TANESCO, Nishati walikuwa wanamuunga mkono maana yule Ngeleja alijua kuna mgao wake toka kwa fisadi Rostam Aziz. Kumbuka pia hata kulipwa kwa $95 million kwa Dowans kuliridhiwa na Pinda, Ngeleja, Mwanasheria Mkuu, Na Serikali kwa ujumla tangu December 2010 lakini kutokana na kelele za Watanzania ndio hadi hii leo haijalipwa hata senti tano.

to hell with bodi
Idrissa asingezuiwa kununua hiyo mitambo
kusingekuwa na mgao na gharama za uendeshaji zingepungua
kungekuwa hakuna fidia wala haya ya leo..Idrissa was right
 
Huyu naye dhaifu sana hata afya yake inafhihirisha hilo..kwa jinsi nimjuavyo jk atapendekeza injinia stela manyanya achukue chaka hilo
 
Wewe unaweza kuona hivyo lakini kwa Watanzania wengi hawakubaliani nawe. Rostam Azizi aliudanganya umma wa Watanzania kwamba kampuni yake ina HQ Houston, Texas kumbe ni uongo. Uongo wake ulimuwezesha kupata tenda ya mabilioni ya pesa pamoja na kuwa Wataalamu wa TANESCO waliishauri Serikali isiingie mkataba na kampuni ambayo haikuwa na uwezo wa aina yoyote katika kufua umeme na hakuwahi kufanya kazi hiyo mahali popote pale duniani.

Walipopata mkataba kazi ikawashinda kwa kuwa walikuwa hawajui lolote lile kuhusu ufuaji wa umeme lakini wakaendelea kulipwa mabilioni ya pesa na hatimaye TANESCO kuamua kuvunja mkataba huo. Halafu bado unaona ingekuwa sawa kununua mtambo chakavu kwa pesa chungu nzima wakati ingeongezwa pesa kidogo tu nchi ingeweza kununua mtambo mpya kabisa.

to hell with bodi
Idrissa asingezuiwa kununua hiyo mitambo
kusingekuwa na mgao na gharama za uendeshaji zingepungua
kungekuwa hakuna fidia wala haya ya leo..Idrissa was right
 
Wewe unaweza kuona hivyo lakini kwa Watanzania wengi hawakubaliani nawe. Rostam Azizi aliudanganya umma wa Watanzania kwamba kampuni yake ina HQ Houston, Texas kumbe ni uongo. Uongo wake ulimuwezesha kupata tenda ya mabilioni ya pesa pamoja na kuwa Wataalamu wa TANESCO waliishauri Serikali isiingie mkataba na kampuni ambayo haikuwa na uwezo wa aina yoyote katika kufua umeme na hakuwahi kufanya kazi hiyo mahali popote pale duniani.

Walipopata mkataba kazi ikawashinda kwa kuwa walikuwa hawajui lolote lile kuhusu ufuaji wa umeme lakini wakaendelea kulipwa mabilioni ya pesa na hatimaye TANESCO kuamua kuvunja mkataba huo. Halafu bado unaona ingekuwa sawa kununua mtambo chakavu kwa pesa chungu nzima wakati ingeongezwa pesa kidogo tu nchi ingeweza kununua mtambo mpya kabisa.

wewe unachanganya madawa
mitambo aliyotaka kununua Idrisa ilikuwa ipo ubungo
na TANESCO walikuwa wanaitumia tayari
alichotaka Idrisa ni kununua tu mitambo

sasa hayo mengine hayamhusu

wewe kama umepewa kampuni inayokodisha gari kwa gharama kuubwa
ukaona bora ununue hilo gari kwa robo ya bei ya kukodisha
mimi nakuona wewe una akili
haijalishi kama owner wa gari ni tapeli au la..
mradi mitambo ni real
 
Mitambo ni real wakati hujui hata uchakavu wake ni wa kiasi gani? Kwa hiyo ukiwa na taratibu zako za manunuzi au za kuingia mikataba hata zikiukwa wewe huoni tatizo!!! Duh!

Sijachanga madawa popote pale niliyoyaandika yote ni facts ambazo zinaweza kuwa verified.


wewe unachanganya madawa
mitambo aliyotaka kununua Idrisa ilikuwa ipo ubungo
na TANESCO walikuwa wanaitumia tayari
alichotaka Idrisa ni kununua tu mitambo

sasa hayo mengine hayamhusu

wewe kama umepewa kampuni inayokodisha gari kwa gharama kuubwa
ukaona bora ununue hilo gari kwa robo ya bei ya kukodisha
mimi nakuona wewe una akili
haijalishi kama owner wa gari ni tapeli au la..

mradi mitambo ni rea
l
 
Back
Top Bottom