Kitilya wa TRA kupelekwa TANESCO ?

wimbi la mbele

JF-Expert Member
Jan 4, 2011
647
266
Taarifa za hapa Dar mchana huu zinasema kuwa KITILYA wa TRA anaweza kupelekwa TRA kuokoa jahazi la TANESCO lisizame

swali; Je Kitilya anafaa au hafai kupelekwa Tanesco? sababu ni zipi?
 
kinachotakiwa tanesco ni serikali ifanye yafuatayo

kuondoa kodi ya mafuta inayofikia 80bn kama alivyosema mhando
kudhamini tanesco kukopa kwenye mabenk, syndicate loan ili kuwalipa wadai wao ili kuepusha mgao

hata akienda kikwete pale kuwa MD haitasaidia, hatuhitaji kuuza sura bali kufanya kazi, na kufanya kazi ni pesa inatakiwa siyo barua na siasa
 
kinachotakiwa tanesco ni serikali ifanye yafuatayo

kuondoa kodi ya mafuta inayofikia 80bn kama alivyosema mhando
kudhamini tanesco kukopa kwenye mabenk, syndicate loan ili kuwalipa wadai wao ili kuepusha mgao

hata akienda kikwete pale kuwa MD haitasaidia, hatuhitaji kuuza sura bali kufanya kazi, na kufanya kazi ni pesa inatakiwa siyo barua na siasa

Kwanini kodi iondolewe? Unadhani Tanesco ndio wanaolipa kodi au ni wananchi?

Serikali iwadhamini wakope walipe deni!, haya ni mawazo yako au ni mawazo ya bia!

Ili twende sawa lazima turudi nyuma tuulizane kwanza hela zote inazokopa na zile ambazo serikali imetoa kwa miaka mingi, zimepotelea wapi? Kumbuka kila senti inayokopwa wananchi tumeilipa kupitia bili za umeme
 
Taarifa za hapa Dar mchana huu zinasema kuwa KITILYA wa TRA anaweza kupelekwa TRA kuokoa jahazi la TANESCO lisizame

swali; Je Kitilya anafaa au hafai kupelekwa Tanesco? sababu ni zipi?

Hafai, ni wale wale tu.

TANESCO apewe S. S. Bakhresa kuiendesha.
 
ina maana huyo kitilya ndo mtu pekee aliyebaki Tanzania, anayeweza ku-manage haya mashirika? manake katika nchi hii kuna professional CEO kama masebu, mattaka, idrisaa rashid, hawa vijana wetu wanaosoma ni bure kabisa?
 
...Yale yale!!! Kwa mafanikio yepi aliyoyapata TRA hadi apelekwe TANESCO? Si ndiye huyu aliyeshindwa kubuni mikakati ya kuongeza mapato ya Serikali na pia aliyeisababisha nchi kupoteza shilingi bilioni 500 pale kampuni ya kihindi ilipoamua "kuwekeza" nchini!?
 
Kwanini kodi iondolewe? Unadhani Tanesco ndio wanaolipa kodi au ni wananchi?

Serikali iwadhamini wakope walipe deni!, haya ni mawazo yako au ni mawazo ya bia!

Ili twende sawa lazima turudi nyuma tuulizane kwanza hela zote inazokopa na zile ambazo serikali imetoa kwa miaka mingi, zimepotelea wapi? Kumbuka kila senti inayokopwa wananchi tumeilipa kupitia bili za umeme

mkuu tulishachelewa hayo madeni si ya tanesco bali yale mambo ya rich mond, agrreko, symbions, dowans ambayo serikali kupitia mafisadi wali-drag tanesco hapo ilipo. mkakati huo hapo juu ni wa kuinasua tanesco na taifa lisiingie gizani madhali wale waliolifikisha tanesco hapo mkuu wa magogoni hataki wachukuliwe hatua
 
Tanesco na makampuni mengi ya ummah yanahitaji wazungu tu kuiendesha....

nchi ya ajabu hiiii
tunaajiri wazungu kwa mpira
lakini hatutafuti wataalam wa kutoka nje kwa menejiment.....
 
Tanesco na makampuni mengi ya ummah yanahitaji wazungu tu kuiendesha....

nchi ya ajabu hiiii
tunaajiri wazungu kwa mpira
lakini hatutafuti wataalam wa kutoka nje kwa menejiment.....

BOSS si walikuwepo wale makaburu wauza stationeries toka South Africa ambao waliingizwa na Mkapa kwa mtutu wa bunduki lakini kazi ikawashinda? Hata Wazungu pia hufanya madudu mengi tu.

Mie naamini wako Wabongo ambao wanaweza kabisa kuiendesha TANESCO ila tu wawe huru kuachiwa kuiendesha bila kuingiliwa na Serikali (Wizara ya Nishati) Angalia matatizo mengi sasa hivvi ya TANESCO (Dowans, IPTL, mikataba ya Gas n.k.) Chanzo chake kikubwa ni Serikali (Nishati) Kwa mfano baada wataalamu wa TANESCO kuitathmini kampuni ya Richmond kabla haijaingia mkataba na Serikali wataalam wa TANESCO waliishauri Serikali kwamba Richmond haina uwezo wa kufua umeme hivyo isipewe mradi ule, lakini Serikali haikusikia ushauri wa wataalam wa TANESCO na yaliyotokea wote tunayajua.

 
BOSS si walikuwepo wale makaburu wauza stationeries toka South Africa ambao waliingizwa na Mkapa kwa mtutu wa bunduki lakini kazi ikawashinda? Hata Wazungu pia hufanya madudu mengi tu.

Mie naamini wako Wabongo ambao wanaweza kabisa kuiendesha TANESCO ila tu wawe huru kuachiwa kuiendesha bila kuingiliwa na Serikali (Wizara ya Nishati) Angalia matatizo mengi sasa hivvi ya TANESO (Dowans, IPTL, mikataba ya Gas n.k.) Chanzo chake kikubwa ni Serikali (Nishati) Kwa mfano baada wataalamu wa TANESCO kuitathmini kampuni ya Richmond kabla haijaingia mkataba na Serikali wataalam wa TANESCO waliishauri Serikali kwamba Richmond haina uwezo wa kufua umeme hivyo isipewe mradi ule, lakini Serikali haikusikia ushauri wa wataalam wa TANESCO na yaliyotokea wote tunayajua.



BAK please usipende sikiliza radio mbao
kwanza hao makaburu ndio walioiambia serikali ubovu wa kampuni ya Richmond
soma vizuri ripoti ya Mwakyembe...
CEO kaburu ndio aliepinga zoezi zima la Richmond....

halafu nikisema wazungu sina maana mzungu Rangi tu
awe qualified na uzoefu unaohitajika

wazungu ndio wana ubavu wa kukataa 'siasa' na presha za viongozi dhaifu wa nchi hiii....
 
Hafai, ni wale wale tu.

TANESCO apewe S. S. Bakhresa kuiendesha.
naunga hoja mkuu maana tangu aichukue NMC hatujawahi kosa ngano,maji,mkate!hata sasa serikali inategemea uwanja wake chamazi,boat za kwenda zanzibar,ana viwanda msumbiji,malawi,rwanda,uganda
 
Tatizo ni mikataba mibovu ya POWER PURCHASE ambayo tunaingia na hawa wazungu bila kuwa na uilewa tunaingia mikataba ya aina gani!! Ndio maana tunajikuta TANESCO inadaiwa na hayo makampuni fedha ambazo yenyewe haikusanyi kutoka kwa wateja wake, hivyo kama gharama inazidi mapato lazima utakuwa na madeni [ deficit] . Tatizo liko kwenye hiyo mikataba na hivyo hivyo tutajikuta makampuni ni kuchimba GAS yatatuingiza mkenge kwa ujinga wa kuingia mikataba kichwa kichwa bila kuwatumia wazalendo WALIOTUKUKA kuihakiki vizuri.[sio wakina CHENGE na RASHID]!!
 
Hakuna chochote nilichoandika hapa ni cha kutoka redio mbao. Hizo ni info kutoka kwa close friends ndani ya TANESCO ambao wako kwenye position za juu. Waliofanya tathmini kama Richmond/Dowans wanastahili kupewa mkataba wa kufua umeme wakati ule nchi imegubikwa na giza nene na Wabongo wa kuzaliwa, CEO kaburu hakuwa na uwezo wowote wa kufanya tathmini ile kwa sababu alikuwa hajui chochote kuhusiana na ABC za ufuaji wa umeme.

Wazungu makaburu walikuwa pale TANESCO lakini hawakuweza kukataa chochote kuhusu "siasa" na hivyo kusign mkataba wa kifisadi na kampuni ya wizi ya Mkapa "Kiwira" ya mkataba wa $326 millioni.



BAK please usipende sikiliza radio mbao
kwanza hao makaburu ndio walioiambia serikali ubovu wa kampuni ya Richmond
soma vizuri ripoti ya Mwakyembe...
CEO kaburu ndio aliepinga zoezi zima la Richmond....

halafu nikisema wazungu sina maana mzungu Rangi tu
awe qualified na uzoefu unaohitajika


wazungu ndio wana ubavu wa kukataa 'siasa' na presha za viongozi dhaifu wa nchi hiii....
 
Hakuna chochote nilichoandika hapa ni cha kutoka redio mbao. Hizo ni info kutoka kwa close friends ndani ya TANESCO ambao wako kwenye position za juu. Waliofanya tathmini kama Richmond/Dowans wanastahili kupewa mkataba wa kufua umeme wakati ule nchi imegubikwa na giza nene na Wabongo wa kuzaliwa, CEO kaburu hakuwa na uwezo wowote wa kufanya tathmini ile kwa sababu alikuwa hajui chochote kuhusiana na ABC za ufuaji wa umeme.

Wazungu makaburu walikuwa pale TANESCO lakini hawakuweza kukataa chochote kuhusu "siasa" na hivyo kusign mkataba wa kifisadi na kampuni ya wizi ya Mkapa "Kiwira" ya mkataba wa $326 millioni.

kama makaburu waliletwa na Mkapa
wasingeshindwa kukataa 'oder' ya Mkapa

alikataaa siasa, CEO wa kwanza kabisa wakamuondoa...

bottomline hao rafiki zako ndio hao hao kina Mhando in waiting.....

Wazungu ndo solution ya kampuni za ummah za TZ..

hawapendi kuchafuliwa.hawaogopi kuanika kitu
na hawaogopi kufukuzwa...na hawawezi kuonewa sababu wanalindwa na sheria hadi za kimataifa...

tutafute CEO wa kizungu from U S A...utaniambia....
 
Kutoka ripoti ya Mwakyembe

Mheshimiwa Spika, kama nilivyodokeza awali, Kamati Teule ilishindwa kubaini moja kwa moja chanzo cha ujasiri wa kiburi ndani ya Wizara ya Nishati na Madini kiasi cha kupindisha maamuzi ya Baraza la Mawaziri bila wasiwasi wowote, kukaidi ushauri wa kitaalamu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma mara tatu mfululizo na kinyume na maagizo ya Baraza la Mawaziri yaliyotaka Sheria ya Ununuzi wa Umma izingatiwe, kukiuka sheria kwa makusudi kwa kuingilia mchakato wa zabuni wa taasisi nyingine ya ununuzi, kuvipuuza vyombo vya ndani vya maamuzi vya TANESCO (Bodi ya Wakurugenzi, Bodi ya Zabuni n.k), kuilazimisha Bodi ya Menejimenti ya TANESCO kuridhia maamuzi yaliyofanywa na Wizara ya kuibeba Richmond Development Company LLC kinyume cha sheria na taratibu, n.k. Aidha Kamati Teule ilishangazwa na Ofisi ya Waziri Mkuu iliyokuwa ikifuatilia kwa karibu mchakato huo, kushindwa kukemea ukaidi huo wa Wizara ya Nishati na Madini.
 
Hakuna chochote nilichoandika hapa ni cha kutoka redio mbao. Hizo ni info kutoka kwa close friends ndani ya TANESCO ambao wako kwenye position za juu. Waliofanya tathmini kama Richmond/Dowans wanastahili kupewa mkataba wa kufua umeme wakati ule nchi imegubikwa na giza nene na Wabongo wa kuzaliwa, CEO kaburu hakuwa na uwezo wowote wa kufanya tathmini ile kwa sababu alikuwa hajui chochote kuhusiana na ABC za ufuaji wa umeme.

Wazungu makaburu walikuwa pale TANESCO lakini hawakuweza kukataa chochote kuhusu "siasa" na hivyo kusign mkataba wa kifisadi na kampuni ya wizi ya Mkapa "Kiwira" ya mkataba wa $326 millioni.


kuendesha Tanesco sio lazima ujue taaluma ya umeme
MENEJIMENTI peke yake ni TAALUMA..
ndio maana Idrisa Rashid alikuwa better CEO kuliko Engineer Mhando

na ndo maana ma CEO mfano wa TBL hawajui 'taaluma ya kutengeneza beer'
lakini wanaweza..
 
Back
Top Bottom