Kwa wale waislam kwanza mtaniwia radhi pls, kuna kpnd nilifika arusha jamaa yangu mmoja ambae kwa sasa nilipoteza mawasiliano yake, jamaa alinipeleka ktk hotel moja nikapiga kit moto rost yenye mbogamboga ndani na ndizi rost, aisee never ever seen b4 ile kiti moto ilikuwa bab kubwa, jamani wale wenyewe wa arusha nasikia a town huko ndiyo wenyewe kwa kiti moto, pls naanza likizo mwezi wa sita naombeni mniagizie nikifika hapo arusha nianzie wapi ili nipate iyo kitu, hapo cna mwenyewe me napit tuu. Nawakilisha wakubwa.