Kiti kinaweweseka: Hoja zote binafsi sasa kujadiliwa Bunge lijalo

Duuuuuuuuu!!!!!!!!!!

Ina maana matusi ya nguoni 400 yametosha huyu mama kubadili msimamo.

Ama kweli nimeamini, Serikali ya tanzania ni LEGELEGE, CCM ni LEGELEGE, na........ ni LEGELEGE, na .......ni LEGELEGE...

maamuzi yao daima ni ya kukurupuka tu...


MIZAMBWA
NABII MTARAJWA!!!
 
Kama makinda ataendelea na utaratibu wa dhihaka iliyomo kwenye riwaya ya 'ANIMAL FARM' isemayo, 'ALL ANIMALS ARE AQUAL BUT SOME ANIMALS ARE MORE EQUAL THAN OTHERS' ajue wazi kuwa atamaliza kipindi chake kwa aibu kubwa...maana anaowadharau ndio wataibuka kuwa more equal than ccm.
 
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amesema hoja zote binafsi zilizositishwa katika Bunge la 10, sasa zitajadiliwa katika Bunge lijalo litakaloanza Aprili 9. Makinda alisema wahusika wa hoja, wanatakiwa kujipanga upya na kuwasilisha hoja zao.

Makinda kwa sasa anahudhuria Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Dodoma. Hata hivyo, ni hoja pekee ya Joshua Nassari kuhusu mwenendo wa Baraza la Mtihani la Taifa (Necta) unavyoathiri elimu ya Tanzania ndiyo haikusomwa kutokana na kuzuka kwa vurugu katika mkutano huo wa Bunge.

Hoja binafsi ziliwasilishwa ni ya Mwigulu Nchemba iliyokuwa ikihusu mikopo ya elimu ya juu, James Mbatia iliyohusu mitalaa ya elimu kwa shule za msingi, sekondari na elimu ya awali.
Hamisi Kigwangala aliwasilisha hoja yake ya kuanzishwa mpango wa kusaidia vijana ikiwamo kuanzisha benki,wakati John Mnyika aliwasilisha hoja kuhusu maji na majitaka katika Jiji la Dar es Salaam.Hoja zote binafsi sasa kujadiliwa Bunge lijaloHoja zote binafsi sasa kujadiliwa Bunge lijalo

Hata hivyo, hoja za Kigwangala na Nchemba ndizo zilizopita wakati hoja ya Mbatia na Mnyika zilitupwa baada ya mijadala ya hapa na pale kwa wabunge.

Kwa upande mwingine, hoja za Mbatia na Mnyika ndizo zilizowasha moto Bungeni na hata kusababisha Kamati ya Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge kuamua kuondoa hoja zote kutokana na vurugu hizo ambazo Spika alisema sehemu kubwa zimesababishwa na Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu.

Makinda alisema pia kuwa pamoja na kuahirisha Bunge, lakini wabunge wametia aibu kubwa ndani ya taasisi hiyo ambayo ni moja ya mihimili ya dola.

Source: Hoja zote binafsi sasa kujadiliwa Bunge lijalo - Habari - mwananchi.co.tz

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

aliyelitia aibu bunge ni yeye na mwingine mbona huyu mama ni mzushi?
 
Ajiuzuli kama hawezi. Waungwana huwa wanasema nimeshindwa. Kazi yeye kang'ang'ana tatizo la kupachikwa hadi waliokupachika wasema toka. Chezea upinzani wewe. Kuwa makini mama chama ndo kinachokuharibia hata kama una uwezo ukiwa huko akili yako inatakiwa irudi nyuma karne moja.
 
Serikali inayumba, Bunge linayumba na mahakama nayo inayumba na majaji feki mwisho wa siku nchi nzima nayo inayumba. Jk alitafuta urais kwa miaka 10 huku hajui kitu cha kufanya. Kazi kweli.
 
Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano anadhalilisha na kulitia aibu bunge letu tukufu kwa kuibeba na kuipendelea serikali bungeni waziwazi.Serikali ijayo impe uwaziri ili tujue moja.
 
Unaaambiwa hakuna tena hakuna aliyejuu ya nguvu ya umma, sasa kwa nini azilirudishe,mbona kusumbua tuu wabunge yaani yeye anaendesha bunge kwa amri yamwenyekiti wa CCM na waziri mkuu sasa wataipata
 
YOTE KWA YOTE hatukutakiiiiiiii,achia kiti,wewe ni janga kwa TAIFA HILI.Kama hautaki shaurii yako yasije kukukuta yale ya wenzako Ntwalaaa.
 
Duuuuuuuuu!!!!!!!!!!

Ina maana matusi ya nguoni 400 yametosha huyu mama kubadili msimamo.

Ama kweli nimeamini, Serikali ya tanzania ni LEGELEGE, CCM ni LEGELEGE, na........ ni LEGELEGE, na .......ni LEGELEGE...

maamuzi yao daima ni ya kukurupuka tu...


MIZAMBWA
NABII MTARAJWA!!!
Rais dhaifu!
Serikali dhaifu!
Bunge dhaifu!
Spika dhaifu!

Mungu wangu weee uturehemu!
 
Huyu mama dawa yake ndogo tena iko jikoni inaiva, sura mbaya kama sokwe hapendezi hata ajilembe vipi, nabado hiyo ndio nguvu ya umma
 
kama ni kweli sio kwamba tu hafai bali akiendelea yatatokea mengi na mabaya zaidi
 
Hayo ndo baadhi ya matokeo ya sms za wananchi na bado mpaka arudi kwenye mstari au aondoke kabisa.
 
Naibu Spika Ndugai na Spika Makinda kwa kweli walibanwa sana na baada ya mashitaka kufikishwa ktk mahakama za wananchi 10/02/2013 imebidi wajirudi , tutizame jinsi hali ya ubabe wa Naibu Spika na wabunge wa CCM ilivyokuwa wakihaha kutafuta 'kanuni' kubana wabunge wa upinzani kiaina hapo 04/02/2013


source: subi nukta


Mbunge Madabida ameanza kwa kusema anaipongeza serikali na wabunge wa Dar wa kipindi kilichopita kwa "kazi nzuri waliyoifanya". Kazi ipi hiyo nzuri? Ina maana Dar sasa hivi maji yanatoka kila nyumba? Mimi mbona sipati maji nyumbani kwangu? Au kwa wana-ccm kazi nzuri ni maji kutotoka kwenye mabomba? Mmmmmh!
 
Last edited by a moderator:
Jamani mama makinda ana matatizo sana mhurumieni maana naona kammaindi Tundu Lisu hivyo kachanganyikiwa hajui afanyeje alifikiri kucheza muziki Jembe lingetilia kumbe wapi bwana
 
Back
Top Bottom