Kitakachowaponza CHADEMA ni hiki hapa

zema21 uwezo wako wa kuchambua mambo ya siasa ya nchi hii ni mdogo mno, ni bora ukakaa pembeni kama mimi ukabakia kushuhudia CCM ikiingia kaburini. kufanya hivyo hutakuwa umefanya kosa.
 
Kwanza naomba ku-declare kuwa mimi si mshabiki wa chama chochote cha siasa! ila ni mfuatiliaji nikipenda kujua sera na mikakati ya kila chama! Hv sasa vijana walio wengi wanadhani kuwa chadema ndicho chama kitakachokuja kuwakomboa na kuwaondolea wimbi la umasikini!
Binafsi nimekuwa nikifuatilia mambo mbalimbali yanayojadiliwa hapa kwenye jukwaa la siasa! Tatizo kubwa nililoliona kwa washabiki wa chadema ni kuwa mara nyingi/wengi wanapoona mtu ameanzisha thread ya kuichallenge chadema hulipuka kwa majibu makali, dharau, kejeli au kashfa....mara utasikia eti hauna akili, au mnafiki au majibu makali, hili ni tatizo.. Unapopata challenge lazima uipangua kwa hoja yenye hekima na busara jambo hilo litatufanya tuwaamini ni kuwapa dola lakini si kwa majibu ya kejeli, kashfa au dharau.. ieleweke nyie wenye majibu ya mtindo huo ndo mtakaokuwa maDC, wenyeviti wa mitaa n.k...sasa majibu yenu ndo yatakuwa hivyo kwa wananchi wenu? Jitafakarini............................

Angalizo nzuri lakini thread ya kijinga lazima ipate hot reactions.
 
Nautambua mchango wa mleta hoja kwa 100% na kuunga mkono hoja.

1. Binafsi sipendi kejeli na matusi na aslani mara chache sana hufikia kiwango cha kufanya hivyo japo sipendi kabisa.

2. Kujibu hoja kwa hoja kunaonesha ukomavu wa fikra na uelewa mpana. Matusi na kashifa hutilia mashaka uelewa wa mtu.

3. kama hakuelewi wanaosoma wanaelewa nani hamnazo kwanini utumie matusi, dharau na kashifa? akizidisha kichwa ngumu na sintofaham achana nae maana ajizi ni nyumba ya njaa haelimishwi akaelimika mwache na upumbavu wake.

4. Tukijenga utaratibu wa hoja kwa hoja tutaelimishana na tutajuwa zaidi na zaidi na zaidi kupanuanan uelewa wetu.


Napenda kukiri kwamba nimekuwa na marumbano ya mara kwa mara na RITZ mara zote huwa tunaanza salama na kuachana salama bila matusi. Mmoja wetu akichoka anayeya au anaingia mitini basi.

Hivyo ni vyema chadema tukajitafakali na kujibu hoja kwa hoja ilikutofautisha pumba na mchele. Cdm badilikeni kwa kuonesha uelewa wenu nakwamba mmeenda shule nahata kama sio shule basi kuonesha hekima na busara ni werevu.


Tunataka mabadiliko kotekote kiulewa, kitaaluma na kuonesha tunaelewana nakuheshimiana.

Watanzania ni watu wa jamii moja, hakuna sababu ya kutukanana, kukashifiana na kejeli kwa maana yoyote ile, kama mwenzio anakuletea udin wewe jenga hoja kumfahamisha, kama anakuletea ukanda jenga hoja na kama anakuletea ukabila mchallenge kwa hoja mwisho wa siku mpumbavu ataeleweka kwa posti zake za magumashi.

This post to me has been useful to all of us regardless you are a cdm member or not, all in all we ought to hold on, keep and maintain disciplinary level at high, we are all brother and sisters of this nation, why loosing sense of tolerance, patience and faith to each other?
 
Silly.... Mjinga ***** umeandika hapa
jaribu kuwa mwelewa mimi sifurahishwi hata kidogo na mwenendo wa magamba....
huwa sijawahi anzisha thread yoyote ya kuwaponda chadema....ila ninachosema ni kwamba tujaribu kujikita kujibu kwa hoja badala ya matusi!!!!!!!! mbona hamuwi waelewa?
 
sina umagamba wowote ila nasimama penye ukweli popote iwe ni magamba nitawapa za uso na cdm pia sitawaficha lolote katika hili mmeingia choo cha.............. Kubalini

Mkuu kama huitaki CDM wananchi wanaitaka, ninyi endeleeni na ufisadi wenu utawatokea puani siku moja, wala usijifanye kuwa hauko kwenye Chama Cha Mabwepande wakati hoja zako zina sifa zote za u-Magamba!
 
Kwanza naomba ku-declare kuwa mimi si mshabiki wa chama chochote cha siasa! ila ni mfuatiliaji nikipenda kujua sera na mikakati ya kila chama! Hv sasa vijana walio wengi wanadhani kuwa chadema ndicho chama kitakachokuja kuwakomboa na kuwaondolea wimbi la umasikini!
Binafsi nimekuwa nikifuatilia mambo mbalimbali yanayojadiliwa hapa kwenye jukwaa la siasa! Tatizo kubwa nililoliona kwa washabiki wa chadema ni kuwa mara nyingi/wengi wanapoona mtu ameanzisha thread ya kuichallenge chadema hulipuka kwa majibu makali, dharau, kejeli au kashfa....mara utasikia eti hauna akili, au mnafiki au majibu makali, hili ni tatizo.. Unapopata challenge lazima uipangua kwa hoja yenye hekima na busara jambo hilo litatufanya tuwaamini ni kuwapa dola lakini si kwa majibu ya kejeli, kashfa au dharau.. ieleweke nyie wenye majibu ya mtindo huo ndo mtakaokuwa maDC, wenyeviti wa mitaa n.k...sasa majibu yenu ndo yatakuwa hivyo kwa wananchi wenu? Jitafakarini............................
Youth and wisdom can not coexist!
 
We Nzema,
huna akl na kama huna kaz nenda katongoze malaya dalapo au ambiance cku ipte co kuleta hoja hapa icyo na mbele wal nyuma
 
Kwa kejeli kama hizi kutoka kwako unategemea nini?

Sidhani kama unajua unacho kiongea!

Unatakiwa kuwa mfano!

hofu yangu mkuu ni kuwa chama kinajengwa na wanachama! kama wanachama wapo hovyo hovyo ni dhahiri chama kitakuwa cha hovyo hovyo!!!
 
we nae kweli huna hoja,
eti huna chama wakati wewe ni liwalo na liwe.
kura yako moja na familia yako HATUITAKI.
wape magamba wako
 
Nawashangaa wanaotetea chama cha msimu CDM!

sijawahi kusikia kuna leseni ya biashara ya rushwa, hivyo kung'ang'ania ccm ni upofu wa mchumia tumbo.huo umsimu unaousema , ccm isingetumia nguvu kubwa kiasi hicho kama usalama wa taifa, madc, marc, intelenjesia ya kova, chama cha msimu haya yote hakukuwa na haja kutumia rasilimali ya taifa na fedha za walipa kodi kwa jinsi hiyo.Upinz:A S-baby:ani si dhambi .punguza mukhali wa posho za nape na kung'ang'nia chama cha vilaza na wazee wanaosinzia bungeni
 
Kwanza naomba ku-declare kuwa mimi si mshabiki wa chama chochote cha siasa! ila ni mfuatiliaji nikipenda kujua sera na mikakati ya kila chama! Hv sasa vijana walio wengi wanadhani kuwa chadema ndicho chama kitakachokuja kuwakomboa na kuwaondolea wimbi la umasikini!
Binafsi nimekuwa nikifuatilia mambo mbalimbali yanayojadiliwa hapa kwenye jukwaa la siasa! Tatizo kubwa nililoliona kwa washabiki wa chadema ni kuwa mara nyingi/wengi wanapoona mtu ameanzisha thread ya kuichallenge chadema hulipuka kwa majibu makali, dharau, kejeli au kashfa....mara utasikia eti hauna akili, au mnafiki au majibu makali, hili ni tatizo.. Unapopata challenge lazima uipangua kwa hoja yenye hekima na busara jambo hilo litatufanya tuwaamini ni kuwapa dola lakini si kwa majibu ya kejeli, kashfa au dharau.. ieleweke nyie wenye majibu ya mtindo huo ndo mtakaokuwa maDC, wenyeviti wa mitaa n.k...sasa majibu yenu ndo yatakuwa hivyo kwa wananchi wenu? Jitafakarini............................

Sasa wewe ulitegemea nini? kutoka chama kinachoendeshwa na mtu mwenye biashara ya kilabu cha usiku? na mwingine ndio hivyo, hata kusema ni aibu.
 
Back
Top Bottom