Kitabu Kipya: "Waliopotezwa Tanzania " Mwandishi: Sheikh Ponda Issa Ponda

Mohamed Said

JF-Expert Member
Nov 2, 2008
20,971
30,316
KITABU KINGINE CHA SHEIKH PONDA KIMEZINDULIWA: WALIOPOTEZWA TANZANIA.

Katika kipindi cha miaka mitatu nimekuwa nikipokea vitabu kutoka kwa waandishi wakiniomba nifanye pitio yaani, "book review," kwa nia ya kuvitambulisha vitabu hivi kwa wasomaji na wananchi kwa jumla.

Kitu kinachojitokeza kwa haraka na wazi katika vitabu hivi ni kuwa hivi si vitabu vya kawaida.

Hivi vyote ni vitabu vya kuogofya.
Hivi ni vitabu vya kutisha.

Si vitabu utakachosoma na moyo wako ukawa umetulia.

Hivi ni vitabu unasoma na moyo ukabadilisha mapigo ukawa unadunda kwa haraka.

Hivi ni vitabu vilivyojaa simanzi kila ukurasa unaopindua.
Vitabu vya aina hii si vyepesi kuviandikia pitio ingawa pitio limeandikwa lipo.

Kuna msomaji mmoja alisoma pitio langu la moja ya vitabu hivi vinavyotisha.
Kamaliza pitio langu hakukuta maelezo ya kitabu kinasema nini.

Kahamaki akaniandikia, "Hivi vitisho vya nini tueleze mwandishi kaandika nini?"

Tayari nilikuwa nishawaweleza wasomaji kuwa wasome kitabu waone wenyewe yaliyomo ndani ya kitabu hicho.

Lakini kinyume na wasomaji waandishi wa vitabu hivi wote wameniandikia kunishukuru kwa kufanya pitio la kitabu chake na kuniambia kuwa nimetenda haki kwa kalamu zao.

Ninachoweza kusema kuhusu kitabu hiki cha Sheikh Ponda, "Waliopotezwa Tanzania," ni kuwa kitabu hiki kinatisha sana.

Swali linalozunguka akilini kwangu ni imekuwaje kuwa Tanzania vitabu vyake muhimu kutoka kwa baadhi ya waandishi wake vimekuwa vitabu kurasa zake zinachuruzika damu?

Kitabu hiki kinauzwa Tanzania Publishing House (TPH) Samora Avenue na maduka ya vitabu ya Ibn Hazm Media Centre Msikiti wa Manyema, Mtoro na Mtambani.

1686159734821.png

1686159779995.png

1686159808400.png


Bei ya kitabu ni T. Shs: 10,000.00.
 
KITABU KINGINE CHA SHEIKH PONDA KIMEZINDULIWA: WALIOPOTEZWA TANZANIA.

Katika kipindi cha miaka mitatu nimekuwa nikipokea vitabu kutoka kwa waandishi wakiniomba nifanye pitio yaani, "book review," kwa nia ya kuvitambulisha vitabu hivi kwa wasomaji na wananchi kwa jumla.

Kitu kinachojitokeza kwa haraka na wazi katika vitabu hivi ni kuwa hivi si vitabu vya kawaida.

Hivi vyote ni vitabu vya kuogofya.
Hivi ni vitabu vya kutisha.

Si vitabu utakachosoma na moyo wako ukawa umetulia.

Hivi ni vitabu unasoma na moyo ukabadilisha mapigo ukawa unadunda kwa haraka.

Hivi ni vitabu vilivyojaa simanzi kila ukurasa unaopindua.
Vitabu vya aina hii si vyepesi kuviandikia pitio ingawa pitio limeandikwa lipo.

Kuna msomaji mmoja alisoma pitio langu la moja ya vitabu hivi vinavyotisha.
Kamaliza pitio langu hakukuta maelezo ya kitabu kinasema nini.

Kahamaki akaniandikia, "Hivi vitisho vya nini tueleze mwandishi kaandika nini?"

Tayari nilikuwa nishawaweleza wasomaji kuwa wasome kitabu waone wenyewe yaliyomo ndani ya kitabu hicho.

Lakini kinyume na wasomaji waandishi wa vitabu hivi wote wameniandikia kunishukuru kwa kufanya pitio la kitabu chake na kuniambia kuwa nimetenda haki kwa kalamu zao.

Ninachoweza kusema kuhusu kitabu hiki cha Sheikh Ponda, "Waliopotezwa Tanzania," ni kuwa kitabu hiki kinatisha sana.

Swali linalozunguka akilini kwangu ni imekuwaje kuwa Tanzania vitabu vyake muhimu kutoka kwa baadhi ya waandishi wake vimekuwa vitabu kurasa zake zinachuruzika damu?

Kitabu hiki kinauzwa Tanzania Publishing House (TPH) Samora Avenue na maduka ya vitabu ya Ibn Hazm Media Centre Msikiti wa Manyema, Mtoro na Mtambani.



Bei ya kitabu ni T. Shs: 10,000.00.
Huyu mkongomani ni mchonganishi na msaka tonge kama yule mrundi mwenzake Khalifa Hamis. Ni bahati mbaya hata hao waarabu wenzao wanawaunga mkono katika uchonganishi wao wasijue kikinuka wana kwao pa kwenda
 
Huyu mkongomani ni mchonganishi na msaka tonge kama yule mrundi mwenzake Khalifa Hamis. Ni bahati mbaya hata hao waarabu wenzao wanawaunga mkono katika uchonganishi wao wasijue kikinuka wana kwao pa kwenda
Father...
Wote hao ni Watanzania ingawa ni Wamanyema.

Wamanyema wana historia kubwa sana katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika.

Nitakuonjesha kidogo:

1686163249950.png

Kulia ni Hamisi Taratibu Muasisi wa TANU Dodoma Central Province, (Mmanyema), Saadan Abdu Kandoro (Mmanyema) katika waasisi 17 wa TANU, Julius Nyerere (Mzanaki), Sheikh Mohamed Ramiyya (Mmanyema) kiongozi wa TAA na TANU Bagamoyo na Iddi Faiz Mafongo (Mmanyema) Mweka Hazina wa Kwanza wa TANU kati ya watu wasiozidi 20 waliohudhuria mkutano wa kwanza wa TANU Ukumbi wa Arnautoglo na mkusanyaji wa fedha sasfari ya kwanza ya Nyerere UNO 1955.

Picha imepigwa Dodoma Railway Station mwaka wa 1955 wakati wa kuisambaza TANU majimboni na kupigania uhuru.
 
KITABU KINGINE CHA SHEIKH PONDA KIMEZINDULIWA: WALIOPOTEZWA TANZANIA.

Katika kipindi cha miaka mitatu nimekuwa nikipokea vitabu kutoka kwa waandishi wakiniomba nifanye pitio yaani, "book review," kwa nia ya kuvitambulisha vitabu hivi kwa wasomaji na wananchi kwa jumla.

Kitu kinachojitokeza kwa haraka na wazi katika vitabu hivi ni kuwa hivi si vitabu vya kawaida.

Hivi vyote ni vitabu vya kuogofya.
Hivi ni vitabu vya kutisha.

Si vitabu utakachosoma na moyo wako ukawa umetulia.

Hivi ni vitabu unasoma na moyo ukabadilisha mapigo ukawa unadunda kwa haraka.

Hivi ni vitabu vilivyojaa simanzi kila ukurasa unaopindua.
Vitabu vya aina hii si vyepesi kuviandikia pitio ingawa pitio limeandikwa lipo.

Kuna msomaji mmoja alisoma pitio langu la moja ya vitabu hivi vinavyotisha.
Kamaliza pitio langu hakukuta maelezo ya kitabu kinasema nini.

Kahamaki akaniandikia, "Hivi vitisho vya nini tueleze mwandishi kaandika nini?"

Tayari nilikuwa nishawaweleza wasomaji kuwa wasome kitabu waone wenyewe yaliyomo ndani ya kitabu hicho.

Lakini kinyume na wasomaji waandishi wa vitabu hivi wote wameniandikia kunishukuru kwa kufanya pitio la kitabu chake na kuniambia kuwa nimetenda haki kwa kalamu zao.

Ninachoweza kusema kuhusu kitabu hiki cha Sheikh Ponda, "Waliopotezwa Tanzania," ni kuwa kitabu hiki kinatisha sana.

Swali linalozunguka akilini kwangu ni imekuwaje kuwa Tanzania vitabu vyake muhimu kutoka kwa baadhi ya waandishi wake vimekuwa vitabu kurasa zake zinachuruzika damu?

Kitabu hiki kinauzwa Tanzania Publishing House (TPH) Samora Avenue na maduka ya vitabu ya Ibn Hazm Media Centre Msikiti wa Manyema, Mtoro na Mtambani.



Bei ya kitabu ni T. Shs: 10,000.00.
Mchawi af kum

Lkn aliyedizain muonekano wa mbele wa kava amekitendea haki kitabu
 
Huyu mkongomani ni mchonganishi na msaka tonge kama yule mrundi mwenzake Khalifa Hamis. Ni bahati mbaya hata hao waarabu wenzao wanawaunga mkono katika uchonganishi wao wasijue kikinuka wana kwao pa kwenda
Alafu Huwa anaibuka juu pakiwa na itikadi yake. Anapata nguvu sana huyu mwamba.
 
Wacongo waliouzwa Zanzibar leo wanataka Tanganyika iuzwe kwa waarabu, waafrika bila umoja hatutoboi
 
Wacongo waliouzwa Zanzibar leo wanataka Tanganyika iuzwe kwa waarabu, waafrika bila umoja hatutoboi
Wakongo gani waliouzwa Zanzibar?
Unaweza kuwatambua?

Tatizo lako ni Waarabu tu?
Unaijua vizuri historia ya Zanzibar?

Huna tatizo na Wahindi Zanzibar?
Unajua kwa nini nimekuongezea Muhindi?

Ikiwa wewe ni mjuzi wa siasa za Zanzibar haraka utakuwa ushatambua kuwa umejiingiza mwenye dema sasa hujui utatokea njia gani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom