Maalim siwezi kukupinga kuhusu historia, kuna mengi nimejifunza kutoka kwako, naomba utufahamishe hata kwa uchache kuhusu Wahindi ZanzibarWakongo gani waliouzwa Zanzibar?
Unaweza kuwatambua?
Tatizo lako ni Waarabu tu?
Unaijua vizuri historia ya Zanzibar?
Huna tatizo na Wahindi Zanzibar?
Unajua kwa nini nimekuongezea Muhindi?
Ikiwa wewe ni mjuzi wa siasa za Zanzibar haraka utakuwa ushatambua kuwa umejiingiza mwenye dema sasa hujui utatokea njia gani.