Kiss ya mdomo (denda)

kitu LIVE hii mkuu ilitokea!!.

GP huyo maif wako ni mdosi au full mchumia juani a.k.a M-bongo...?

Manake hiyo style alotumia ni sooooooo...Kibongo bongo Hiyo Ngumu sana

Unajua? Yani hayo mambo wanayafanya ni ya siri sana a.k.a chumbani...!
 
Ni vizuri ukimwambia awe anakunyonya shingoni kwa nyuma huku ukiendelea kulitafutia suluhisho,ajitahidi kua msafi pindi mnapoenda kwenye kula tundi la kati[apige mswaki,aoge,avae nguo safi]
 
yani we mimi hata bure au nipewe kama gift sikutaki....u dont want the so called romance????? aisee...it seams even during the game u dont know how to go down and loll the pop or 2wine us shit on top of the d@@@K...!!!! aisee we nenda tu ukaolewe na Morani huko loliondo...
msimshambulie sana mazee! pengine jamaa domo lake likievaporeti oksijeni linaparalayz evrithing kiilichokaa mbele. mnaweza mkamlazimisha akabaki hapo baadae sumu kali za domo la huyu jamaa zikaja zikamfanya mama mchungaji akawa tasa. kuna madomo yana sumu kali kuliko nyuklia ya iran!
mama mchungaji kama lijamaa linakuboa na domo lake lipe laivu bana! aidha lipige msuwaki au lianze mbele.
 
GP huyo maif wako ni mdosi au full mchumia juani a.k.a M-bongo...?

Manake hiyo style alotumia ni sooooooo...Kibongo bongo Hiyo Ngumu sana

Unajua? Yani hayo mambo wanayafanya ni ya siri sana a.k.a chumbani...!
Ohooooo, shauri yako!.
mbongo pyua, mtoto wa KINGONI, nyumbi hii-bombi hii
 
Ohooooo, shauri yako!.
mbongo pyua, mtoto wa KINGONI, nyumbi hii-bombi hii

Yupo juu

Mpe gwala shem

Mi namaindi sana mwanamke mwenye mikogo...

Yani awe na zile genes,hormones za KIKE KIUKWELI....

Sio wanawake wa siku hizi makauuuzu kama midume vile....

I need someone who will treat me like a baby u know....

Sio full minuno kwanzia mlangoni mpka chumbani.

GP ur very Lucky Man!
 
Nyie mnajifanya hamuoni tatizo jamani keshasema mwenzie akikisi basi ni kama analamba uso mzima yaani yeye ulimi wake haukusanyi ile inavyotakikana kwa ajili ya kuudumbukiza kinywani mwa mwenzie bali anausambaza so matokeo yake mijimimate inamtapakaza usoni hadi inapoteza ile ladha ya kiss!! Kama inawezekana bi dada shemeji afundishwe kukiss yaani mnaamua tu leo ni siku ya kukiss then umwonyeshe vile upendavyo wewe!!
 
Yupo juu

Mpe gwala shem

Mi namaindi sana mwanamke mwenye mikogo...

Yani awe na zile genes,hormones za KIKE KIUKWELI....

Sio wanawake wa siku hizi makauuuzu kama midume vile....

I need someone who will treat me like a baby u know....

Sio full minuno kwanzia mlangoni mpka chumbani.

GP ur very Lucky Man!
THANKS MAN!.
anyway usijali sana
wewe ni SHE/HE??
kwasababu ana dadazake na kakazake hwajaolewa/hawajao respectively, so tukiongea vizuri tunaweza kuunga UDUGU.
 
Mimi wala simlaumu Mama Mchungaji. Kuna baadhi ya watu (kama mimi kwa mfano) ambao ni wepesi sana kupata kinyaa. Mimi hata chakula changu huwaga sipendi kishikwe na mtu mwingine. Hata kusalimiana kwa kushikama mikono sipendi (unajua kuna watu wana katabia kakujikuna kuna sehemu za siri, wengine kuingiza vidole puani kutoa boogers...yuuck...halafu hawanawi mikono). Sasa unamsalimia mtu unamshika mkono kumbe mwenzio katoka kujikuna kende au pusi yake. Gademu...that's nasty.

Hilo la denda ndio kabisa sipendi. Mdomo wa binadamu mchafu sana. Utakuwa mtu katoka kula kifungua kinywa, chakula cha mchana, na cha jioni halafu hata kufloss hajafloss au hata kusukutua hajasukutua halafu jioni akirudi nyumbani mwenzio anataka denda. Mibacteria iliyojikusanya kwenye domo lake siku nzima wewe eti ndio utailamba. What the fcuk?

Usafi wa kinywa kitu muhimu sana. Mimi nyumbani lazima niwe na chupa ya Listerine (Advanced), chupa ya Hydrogen Peroxide, na flossing thread na picks na kikwangua ulimi na mara mbili kwa mwaka naenda kwa mganga wa meno kusafishwa. Demu ambaye hana oral hygiene standards zangu simli denda!
 
Mimi wala simlaumu Mama Mchungaji. Kuna baadhi ya watu (kama mimi kwa mfano) ambao ni wepesi sana kupata kinyaa. Mimi hata chakula changu huwaga sipendi kishikwe na mtu mwingine. Hata kusalimiana kwa kushikama mikono sipendi (unajua kuna watu wana katabia kakujikuna kuna sehemu za siri, wengine kuingiza vidole puani kutoa boogers...yuuck...halafu hawanawi mikono). Sasa unamsalimia mtu unamshika mkono kumbe mwenzio katoka kujikuna kende au pusi yake. Gademu...that's nasty.

Hilo la denda ndio kabisa sipendi. Mdomo wa binadamu mchafu sana. Utakuwa mtu katoka kula kifungua kinywa, chakula cha mchana, na cha jioni halafu hata kufloss hajafloss au hata kusukutua hajasukutua halafu jioni akirudi nyumbani mwenzio anataka denda. Mibacteria iliyojikusanya kwenye domo lake siku nzima wewe eti ndio utailamba. What the fcuk?

Usafi wa kinywa kitu muhimu sana. Mimi nyumbani lazima niwe na chupa ya Listerine (Advanced), chupa ya Hydrogen Peroxide, na flossing thread na picks na kikwangua ulimi na mara mbili kwa mwaka naenda kwa mganga wa meno kusafishwa. Demu ambaye hana oral hygiene standards zangu simli denda!

Phweeeeeeh! (nimeshusha pumzi tu hapa)
 
kuna wengine wataogopa tu kusema kwamba ''wanafanya/wanalazimika kufannya ORAL-SEX''!lakini ndivyo ilivyo!.............''
 
kuna wengine wataogopa tu kusema kwamba ''wanafanya/wanalazimika kufannya ORAL-SEX''!lakini ndivyo ilivyo!.............''

Umenikumbusha shoga yabngu alikuwa ananilalalmikia kuwa shem wangu hapendi kuoga usiku yaani akitoka mihangaikoni mwake na kisha kupitia kwenye viti virefu anarudi njwiiii na kula na kupanda kitandani halafu alfajiri anadai morning stars (Hii inajumuisha shughuli nzima ya romance including denda na mbaya zaidi jamaa alikuwa anapenda sana kushukiwa kwa babu yaani nilikuwaga sipati picha!!- Ila wameoana sasa ni mtu na mkewe sasa sijui aliyebadilika ni yeye au shost alisacrifice kama alivyosema mdau huko nyuma lol. Mapenzi!!!
 
Umenikumbusha shoga yabngu alikuwa ananilalalmikia kuwa shem wangu hapendi kuoga usiku yaani akitoka mihangaikoni mwake na kisha kupitia kwenye viti virefu anarudi njwiiii na kula na kupanda kitandani halafu alfajiri anadai morning stars (Hii inajumuisha shughuli nzima ya romance including denda na mbaya zaidi jamaa alikuwa anapenda sana kushukiwa kwa babu yaani nilikuwaga sipati picha!!- Ila wameoana sasa ni mtu na mkewe sasa sijui aliyebadilika ni yeye au shost alisacrifice kama alivyosema mdau huko nyuma lol. Mapenzi!!!

icon10.gif
icon10.gif
icon10.gif
icon10.gif
icon10.gif
icon10.gif
icon10.gif
icon10.gif
icon10.gif
icon10.gif
icon10.gif
icon10.gif
 
jamani nisaidieni,,mi mwenzenu nina allegy na denda...ila kazinayoipata huyu mwenzangu anapenda, kila napomwambia mi sitaki utaona huyo kaja...bwana we sipendi mimi...lakini bado ananijia sehemu ya mdomo..hasa tunapokuaga kwenye ile kazi** ndo utamuona huyo kwa hio nafanya kazi ya kumkwepa..hebu nisaidieni nafanya sawa..na je nifanyaje aache kunikera maana imekua kero..si mnajua mtu anapokufanyia kitu kinachokuboa inavyokuaga.. nyie acheni.
Ili kumkomesha akikupa ulimi mn'gate,akilalamika mwambie wewe hujui kupiga denda,kama akirudia tena system iwe hiyo hiyo,ataacha mwenyewe akiona idadi ya vidonda inaongezeka!!
 
Ili kumkomesha akikupa ulimi mn'gate,akilalamika mwambie wewe hujui kupiga denda,kama akirudia tena system iwe hiyo hiyo,ataacha mwenyewe akiona idadi ya vidonda inaongezeka!!

ah mchaji kwa nini asimwambie kwa utaratibu kwanza kabla ya kumtia vidonda?!

Mi sikushauri mamam mchingaji kwanza dhambi kisha atakunyima vyote shauri yako!! teh teh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom