punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 450
Hivi hawa mapolisi wetu wana muda wa kuingia hapa?! Mimi huwa nawaona kama viumbe tofauti kutoka sayari nyingine kutokana na roho zao mbaya...!!Kesi hii ina utata mkubwa ahsante kwa kuiweka hapa jamvini, labda mapolisi wetu na wapelelzi watajua jinsi ya kufatailia kesi!!! Sio kufunga majalada baada ya kubambika watu kesi za ovyo!!!!!!!!!!!