Gaston Mbilinyi
JF-Expert Member
- Jan 24, 2010
- 296
- 51
Maggid, Tatizo lililopo nitakueleza kwa kifupi sana na hakuna
vinginevyo zaidi ya hivyo pia Tatizo hilo lipo kwa serikali na
wananchi wa kawaida ni hivi-:
TUMEKUWA TUNAPENDA KUSIKIA TUNACHOTAKA KUSIKIA
HATUPENDI KUSIKIA TUNACHOTAKIWA KUSIKIA.
CCM imetukifu watz tulio wengi! Mkuu, acha tubadishe wimbo