babayah67
JF-Expert Member
- Mar 28, 2008
- 493
- 79
Kuna kipindi kinachorushwa kila siku ya Jumatatu mida ya saa tatu na nusu usiku kiitwacho Dakika 45, hivi jamani kipindi hiki kimeanzishwa hasa kwa lengo gani???.
Toka kimeanzishwa kipindi hicho kimekuwa kikiwahoji viongozi wa serikali hasa mawaziri ambao wamekuwa wakieleza sera za wizara zao na pia wamekuwa wakiendesha propaganda za kisiasa dhidi ya vyama vya upinzani.
Kwa kuzingatia maadili ya vyombo vya habari nilitarajia kwa mwongozaji wa kipindi hicho cha Dk 45, kuandaa vipindi vinavyowahusisha viongozi wa upinzani kila wanapokuwa wamehusishwa au kutajwa kuhusika na njama zozote dhidi ya serikali, badala yake hakuna kitu kama hicho.Je ule msingi mzuri wa uandishi/utangazaji wa kutoa habari toka pande zote mbili uko wapi hapa???.
ITV jamani katika hili mnasemaje???
Toka kimeanzishwa kipindi hicho kimekuwa kikiwahoji viongozi wa serikali hasa mawaziri ambao wamekuwa wakieleza sera za wizara zao na pia wamekuwa wakiendesha propaganda za kisiasa dhidi ya vyama vya upinzani.
Kwa kuzingatia maadili ya vyombo vya habari nilitarajia kwa mwongozaji wa kipindi hicho cha Dk 45, kuandaa vipindi vinavyowahusisha viongozi wa upinzani kila wanapokuwa wamehusishwa au kutajwa kuhusika na njama zozote dhidi ya serikali, badala yake hakuna kitu kama hicho.Je ule msingi mzuri wa uandishi/utangazaji wa kutoa habari toka pande zote mbili uko wapi hapa???.
ITV jamani katika hili mnasemaje???