Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Hebu fikiria mtu anakuuliza 'Waliopewa tenda za ujenzi na kuonesha uwezo mdogo, je, wanyang'anywe wapewe wenye uwezo?' Hilo ndilo lilikuwa swali la kipima joto ya itv leo. Sasa najiuliza hili ni swali au jibu. Mara zote hawa jamaa huuliza maswali ambayo kwangu na akili zangu za kunitosha kuvukia barabara huwa naona ni ya kipuuzi sana. Hebu anayejua anieleze lengo la kipindi hiki. ...I mean what is their goal?
Kuwauliza watanzania maswali kama haya ni kuwadhalilisha.
What do you think?
Kuwauliza watanzania maswali kama haya ni kuwadhalilisha.
What do you think?