Sungusia namuelewa sanaaa!
Malofa ni watu maskini lakini ndiyo wapiga kura.
hivi hiyo furaha huwa inapimwaje?aisee huyu baba anatoa takwimu hadi naogopa, eti tz ni ya 146 kati ya nchi 158 kwa watu wenye furaha duniani, hamna namna inabidi ccm waachie tu dola
hivi hiyo furaha huwa inapimwaje?
leo itv hawa ni watu makini wanajadili masuala. safi sana bwana rainfred
Man futa hilo jina una tuletee kwere huyo bedui wa nn uzi utakatila bana.Huyu lofa mwenzetu humphrey polepole angewaangalia wenzake akina sungusia wanavyojenga hoja