johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,974
- 141,984
Kipima Joto leo wageni ni Mwandishi nguli mh Atiki na mh Miraji
Hawa wote ni Wazanzibar sasa mjadala umekuwa wa upande mmoja inabidi mtangazaji Juliet Robert ndio awe mtetezi wa Tanganyika
Mjadala wa leo mmefeli kiukweli
Hawa wote ni Wazanzibar sasa mjadala umekuwa wa upande mmoja inabidi mtangazaji Juliet Robert ndio awe mtetezi wa Tanganyika
Mjadala wa leo mmefeli kiukweli